Kilichofanyika ndani ya chadema ndicho kilichotokea Kenya kwa uhuru na ruto kutengeneza alliance dakika za mwisho na kuchukua nchi bila ya kutumia muda mrefu wa kampeni.hivyo Edo. na ukawa wanaweza pamoja na misukosuko ya hujuma za ccm kuwavuruga slaa na lipumba bado wananchi wanaona ndio njia...
Watu wazima kama mapunguani wa akili wanalazimisha picha kama mpasha habari hajawa na simu ya kiwango asirushe habari muhimu! na kama mazingira aliyokuepo hayakumruhusu kuchukua picha afanyaje?Mbona mnaletewa picha za kugushi humu mnaamini huyu ndugai kapiga mtu haijalishi kwa fimbo,gongo,rungu...
Ccm si mama wala baba wa lowassa hâta julias nyerere alisema demokrasia pana inahitaji utashi na sio mapenzi kama ulihonayo wewe kwa ccm,kama mtu anabadili dini aliyokuta wazazi wake wanaabudu iweje chama.
Watoe namb sa simu au kesi zão ili iweje! katika hali ya kukata tamaa wananchi wanapaza sauti São kupigia média il taasisi husika ifanye nazi saké sio mtu mmoja mmoja apeleke ushahidi tendeni haki kwa wananchi mnapotupeleka sipo.
Hadaa na propaganda za kijima zimepitwa na muda watu wa sasa sio.vijijini tu bali hata mijini picha kama hizo ni za kawaida sana.kila siku wanaona matukio kama ya uarabuni,ulaya nk haiingii akilini kuwageuza akili são wasijue udhalimu wa ccm.mwaka huu wanalo.
taarifa ya habari ya ujerumani mtangazaji sudi mnete anamuhoji John mnyika kuhusu ukimnya wa ukawa kumchagua mgombea wake nafasi ya urais kamwambia kua mgombea wa ukawa atatoka ndani ya UKAWA na sio ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.