CCM iache kumu-abuse Makongoro Nyerere

CCM iache kumu-abuse Makongoro Nyerere

Ni aibu kubwa kwa Tanzania na HESHIMA ya Mwalimu Nyerere kuwakilishwa na Makongoro



Kama Mtanzania huru, niseme wazi, nimefadhaishwa sana na binadamu aitwae Chaeles Makongoro Nyerere Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa aina ya wakilishi wa Familia ya Mwalimu Nyerere kwenye Uzinduzi wa Kampeni zao Jangwani jiji Dar leo,

Heshima ya Mwalimu Nyerere ni kubwa mbele ya dunia na haimithiriki hata kwa punje ya haradari, uwakilishi wowote mbele ya umma yafaa uwe na adabu na utii wa kiwango cha juu sana,

Uwakilishi wa Makongoro huu ni udhalilishaji mkubwa dhidi ya heshima ya mwalimu na familia kwa ujumla, Haiingii akilini mtoto wakutegemewa wa Baba wa Taifa kuwa na lugha chafu hivi mbele ya umma, kibaya zaidi leo amepanda jukwaani kwakupitia uwakilishi wa familia ya Mwalimu Nyerere,

Nimefedheheka sana mimi kama mtanzania, naamini Mama Maria Nyerere pia amefedheheka nakujikuta kumbe ccm na Makongoro wapo kitu kimoja kuidhalilisha familia hii yenye heshima kubwa duniani,

Siamini kama kweli familia imemteua awakikishe kweli maana yupo kiongozi wa familia Chifu Wanzangi ndie mhusika wa masuala ya familia hiyo.

Kwaaina yoyote ile ya mitazamo, Mimi Yericko Nyerere mkulima wa Bamia Mbutu Kigamboni, Ninalaani kwa nguvu zote udhalilishaji huu wa Makongoro dhidi ya heshima ya Mwalimu Nyerere na Familia yake


"Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao"
 
Ni aibu kubwa kwa Tanzania na HESHIMA ya Mwalimu Nyerere kuwakilishwa na Makongoro



Kama Mtanzania huru, niseme wazi, nimefadhaishwa sana na binadamu aitwae Chaeles Makongoro Nyerere Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa aina ya wakilishi wa Familia ya Mwalimu Nyerere kwenye Uzinduzi wa Kampeni zao Jangwani jiji Dar leo,

Heshima ya Mwalimu Nyerere ni kubwa mbele ya dunia na haimithiriki hata kwa punje ya haradari, uwakilishi wowote mbele ya umma yafaa uwe na adabu na utii wa kiwango cha juu sana,

Uwakilishi wa Makongoro huu ni udhalilishaji mkubwa dhidi ya heshima ya mwalimu na familia kwa ujumla, Haiingii akilini mtoto wakutegemewa wa Baba wa Taifa kuwa na lugha chafu hivi mbele ya umma, kibaya zaidi leo amepanda jukwaani kwakupitia uwakilishi wa familia ya Mwalimu Nyerere,

Nimefedheheka sana mimi kama mtanzania, naamini Mama Maria Nyerere pia amefedheheka nakujikuta kumbe ccm na Makongoro wapo kitu kimoja kuidhalilisha familia hii yenye heshima kubwa duniani,

Siamini kama kweli familia imemteua awakikishe kweli maana yupo kiongozi wa familia Chifu Wanzangi ndie mhusika wa masuala ya familia hiyo.

Kwaaina yoyote ile ya mitazamo, Mimi Yericko Nyerere mkulima wa Bamia Mbutu Kigamboni, Ninalaani kwa nguvu zote udhalilishaji huu wa Makongoro dhidi ya heshima ya Mwalimu Nyerere na Familia yake


"Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao"

Hivi wewe upo kwenye familia hii???
 
Watz ni wapumbavu na malofa, ni matusi aliyoporomosha rais mstaafu, kama na wewe ni mtz basi lofa na mpumbavu

Kwani uongo? inakuwaje mnageuzwa mapimbi na Lowassa kwa kununuliwa kama karanga?
 
Kwani uongo? inakuwaje mnageuzwa mapimbi na Lowassa kwa kununuliwa kama karanga?

Ana hela kiasi gani cha kuweza kununua watz milioni 28, nyie ndo malifa na mapumbavu, ongea sera zako we unatukana tena kwa jazba, na huyo nae alikuwa mwandishi wa habari anajua kutamka maneno ya utashi, maneno gani yale, mshaambiwa kama ni mafisadi mnavyodai kwani mahakama hamna nendeni muone mtakavyoumbuka, shenzy type nyie mumetupeleka pabaya mpaka leo watz hatujielewi, ni kipi cha kujivunia katika hawa watu unaowaita ni waungwana, sie ni wa kuzidiwa na rwanda na burundi, kwa lipi, ndo nyie wauza sembe, meno ya tembo, mabake ndo tumekuwa vinara dunia nzima, hiyo nayo unasema ni sifa, achana na wizi uliopo ndani, umerogwa wewe sio bure au elf 5 ya jana ndo imekulewesha
 
Ana miaka mingapi? anafanya bila utashi? uiataji wake wa kula huo
 
Ni aibu kubwa kwa Tanzania na HESHIMA ya Mwalimu Nyerere kuwakilishwa na Makongoro



Kama Mtanzania huru, niseme wazi, nimefadhaishwa sana na binadamu aitwae Chaeles Makongoro Nyerere Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa aina ya wakilishi wa Familia ya Mwalimu Nyerere kwenye Uzinduzi wa Kampeni zao Jangwani jiji Dar leo,

Heshima ya Mwalimu Nyerere ni kubwa mbele ya dunia na haimithiriki hata kwa punje ya haradari, uwakilishi wowote mbele ya umma yafaa uwe na adabu na utii wa kiwango cha juu sana,

Uwakilishi wa Makongoro huu ni udhalilishaji mkubwa dhidi ya heshima ya mwalimu na familia kwa ujumla, Haiingii akilini mtoto wakutegemewa wa Baba wa Taifa kuwa na lugha chafu hivi mbele ya umma, kibaya zaidi leo amepanda jukwaani kwakupitia uwakilishi wa familia ya Mwalimu Nyerere,

Nimefedheheka sana mimi kama mtanzania, naamini Mama Maria Nyerere pia amefedheheka nakujikuta kumbe ccm na Makongoro wapo kitu kimoja kuidhalilisha familia hii yenye heshima kubwa duniani,

Siamini kama kweli familia imemteua awakikishe kweli maana yupo kiongozi wa familia Chifu Wanzangi ndie mhusika wa masuala ya familia hiyo.

Kwaaina yoyote ile ya mitazamo, Mimi Yericko Nyerere mkulima wa Bamia Mbutu Kigamboni, Ninalaani kwa nguvu zote udhalilishaji huu wa Makongoro dhidi ya heshima ya Mwalimu Nyerere na Familia yake


"Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao"

Hilo hata mie limenishangaza sana. Jee ni kweli maneno ya Makongoro yaliwakilisha mawazo ya familia ya Mwalimu akiwemo mama Maria? Kama ni kweli basi hata ile heshima iliyokuwa anapewa yule Mama haimstahili tena. Ajitokeze na kumkana mwanae kuwa hawakumtuma, vinginevyo hata yeye tutachukulia kuwa hastahili heshima tena sio hapa Tanzania tuu bali hata nje ya nchi.
Najua watu wanaendeshwa na ushabiki wanaweza kuliona hili ni jambo dogo tuu, lakini heshima ya Mwalimu haikupaswa ivunjwe na kizazi hiki alichokiacha kikiwa hai hata kidogo labda wajukuu zake ambao eitha hawakuwepo wakati wa Mwalimu au walikuwa wadogo sana kuweza kumfahamu.
 
makongoro mbona hata hajatukana?,amesema mtu mzima ukiingia kwenye mpira wa chandimu na ukapigwa dobo na kanzu na watoto,usilalamike,,,,
tusi liko wapi hapoo
 
Makongo.. ni mlevi tu, anayekunywa mpaka anajikojole.Tunamjua, acha atumike kama Toilet paper tu. Mana kama yeye mwenyewe hajithamini, CCM ndo watamthamini?

Tulia we Lofa na Mpumbavu, keshasema kazi yake ni kumnadi mgombea. Mnalialia nini mumsubiri awapige matobo na kanzu. Pumbavu
 
Hilo hata mie limenishangaza sana. Jee ni kweli maneno ya Makongoro yaliwakilisha mawazo ya familia ya Mwalimu akiwemo mama Maria? Kama ni kweli basi hata ile heshima iliyokuwa anapewa yule Mama haimstahili tena. Ajitokeze na kumkana mwanae kuwa hawakumtuma, vinginevyo hata yeye tutachukulia kuwa hastahili heshima tena sio hapa Tanzania tuu bali hata nje ya nchi.
Najua watu wanaendeshwa na ushabiki wanaweza kuliona hili ni jambo dogo tuu, lakini heshima ya Mwalimu haikupaswa ivunjwe na kizazi hiki alichokiacha kikiwa hai hata kidogo labda wajukuu zake ambao eitha hawakuwepo wakati wa Mwalimu au walikuwa wadogo sana kuweza kumfahamu.

Sema matusi yake, Mnamuogopa eeh? Na hiyo ndo CCM mtahangaika na Mkapa na Mako wasiogombea.. Magufuli anawapiga bao ndo Cha ndimu hucho.
 
UKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.

Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.

Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo

1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.

2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.

3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.

4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.

5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.

6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.

7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.

8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.

9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.

10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.

Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.

Acha kuwa mpumbavu na lofa.

UKAWA NI

U - UMOJA
KA - KAMILI WA
WA - WAPUMBAVU

KARIBU CCM MPE KURA YAKO MAGUFULI
#TEAM TINGATINGA
#HAPA KAZI TUUU
#SITAWAANGUSHAA
#MAGUFULI 💚💚✅✅
#CCM ✅✅✅✅

UMOJA NI USHINDI UNGANA NA CCM TEAM YA USHINDI

BY MTANZANIA MZALENDO
INNOCENT MBILINYI MAGUFULI
MTOTO WA SAMIA SULUHU NA MJUKUU WA DR SHEIN PIA NI KITUKUU CHA CCM IMARA NA ZALENDO.

#TUKUTANE OCTOBER 25
 
UKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.

Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.

Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo

1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.

2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.

3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.

4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.

5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.

6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.

7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.

8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.

9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.

10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.

Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.

Acha kuwa mpumbavu na lofa.

UKAWA NI

U - UMOJA
KA - KAMILI WA
WA - WAPUMBAVU

KARIBU CCM MPE KURA YAKO MAGUFULI
#TEAM TINGATINGA
#HAPA KAZI TUUU
#SITAWAANGUSHAA
#MAGUFULI ✅✅
#CCM ✅✅✅✅

UMOJA NI USHINDI UNGANA NA CCM TEAM YA USHINDI

BY MTANZANIA MZALENDO
INNOCENT MBILINYI MAGUFULI
MTOTO WA SAMIA SULUHU NA MJUKUU WA DR SHEIN PIA NI KITUKUU CHA CCM IMARA NA ZALENDO.

#TUKUTANE OCTOBER 25

ngoja nikuulize swali we mfurukutwa wa kijani

1. tuambie air tanzania ina ndege ngapi
2. ulishawahi tembea nchi za watu tuanzie mfano wa rwanda na burundi ambapo ni karibu, na kwanini wametuacha, wana raslimali gani za kufanya tuachwe nyuma,
3. Jirani zetu msumbiji, thamanisha pesa yao na ya kwetu, wana nini cha kutuzidi

kuna mengi tu ya kusema sasa fumbuka, ukimsikiliza vizuri magufuli hotuba yake kwamba atarekebisha uozo wote ulioachwa na mkwere, kitu ambacho naona ni maneno kwani itabidi awalinde tu ka mkwere alivyomlinda chinga, we nchi inaangamia tu, hatuhitaji ukawa wala ccm hapa tunachohitaji ni mabadiliko, na ccm wameshashindwa, lakini elf 5 ya jana ya kuchukuliwa na fuso huko ulipo mpaka jangwani ndo inakutoa uungwana, kama fisadi kawaeleza tu jamani mie si fisadi na mwizi basi nipelekeni mahakamani, mbona wamenywea, wampeleke, tusishabikie chama tushabikie maslahi ya nchi wakuu, inauma sana tunazidiwa na angola wana midege mikubwa sie hatuna hata ya kusingizia tunabaki kukodisha, sasa hivi mumechukua CRJ ya kenya ndio mnaitangaza, hebu tuamke jamani, miaka 10 mie naona kimataifa tumekuwa vinara wa kuuza sembe na pembe za ndovu, lakini kwa mengine hakuna, watanzania tuamke,
 
Mwenye clip "mpumbafu na lofa aiweke tuitumie kwenye kampeni ya ukawa
nadhani itawekwa manake mie jana niliona kwenye cloudstv katika taarifa ya habari kisha wakaitoa ghafla, niliona ka mwandishi wa habari kasawajika, nadhani alijua watz watareact vipi
 
Ya jana ni rasharasha tu na yametolewa na Wazee wetu tunaowaheshimu,sasa tusubiri kutoka kwa Wataalamu wa mambo hayo ambao wapo katika wale 32 hapo kampeni itakuwa imenoga....Raha kweli kweli.
 
Mengi yameandikwa kuhusu UKAWA ni wakati wa kujitambua.

1) UKAWA si chama cha siasa hivyo hakina sera wala ilani ya uchaguzi.

2) Bahati mbaya chama kimoja kinachounda UKAWA kimepora nafasi za vyama vingine katika uchaguzi wa mwaka huu na kwa matinki hiyo kudhoofisha upinzani.

3) Chama kimoja kukusanya viongozi wa chama kilichoko madarakani kuimarisha safu yake ya uongozi ni kukiri chama hakikuwa na viongozi tosha na tayari kuongoza nchi hii.

Vyama vya upinzani urudi mezani kujipanga upya. Tusione aibu. Kupanga ni kuchagua
 
. Mkianza kuwasikiliza walevi na kuchukulia maanani itawasumbua bezeni matusi tunzeni vikatio na baada a hapo tunza kura yako.
 
Back
Top Bottom