Popoma ushaukweka tayari umeamka na Matola...Wewe watu hawawezi kukuelewa wala kukusikiliza tena tangu ulivyoshiriki kwenye wizi wa mchezaji flani pale airport miaka hii ya juzi kati
Kwahyo watabandika picha za waendesha bodaboda kwenye vituo vyote vya mafuta vilivyopo chunya ili kujua kwamba huyu kashauziwa au bado wamiliki wawe wanapigiana simu akienda kituo kingine
Walipost usiku mnene watu wakiwa wamelala ila kulivyoanza kukucha admin wao akaifuta haraka sana...Hata wanaetaka kumtetea nina hakika hajaona hii post
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.