Natumia Vaseline na usoni huwapipaki mafuta yoyote kwa sababu uso wangu unatafuta sana. Huwa napaka poda tu. Na kwa upande wa uzidi wa mpango nikitulia loop (kitanzi) wakati tayari ndevu ninazo.
Tatizo Hilo pia ninalo na dada yangu pia lakini mama yetu Jana sasa sijui kama ni kurithi kutakuwa ni kwa baba ama mama maana nimejaribu kufuatilia sijaona meingine kwenye ukoo wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.