Recent content by Caro Lynah

  1. Caro Lynah

    Hoja zinazothibitisha kuwa kumfukuza askari wa jeshi lolote kwa vyeti fake ni heri kuliko kumwacha

    jamani ile list ya mapolisi iko wapi?mbona kama siredi imefutwa??naomba mnitag niangalie kama bae wangu yupo jamani maana naona hali yake si mubashara siku mbili hizi.ON A SERIOUS NOTE
  2. Caro Lynah

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Habari!Naomba kuuliza,je kuna usafiri wa moja kwa moja kutoka Musoma hadi kigoma?Au mpaka MWanza?na JE nauli inaweza kuwa bei gani?
  3. Caro Lynah

    Wauza smartphone tukutane hapa

    hapana sina kabisaaa
  4. Caro Lynah

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta display ya LG G3 kwa bei isiotiwa ndimu.Hata kama ni used mi sichagui ili mradi tu iwe display.
  5. Caro Lynah

    Mwili wa sir. Andy Chande wa Freemason kuchomwa moto

    hahahaaaaa kumbe unawaza kama Mimi hapa
  6. Caro Lynah

    Bring Back Del Kisandu.

    AJIUNGE NA HAMORAPA TU TUJUE MOJA
  7. Caro Lynah

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    na mimi pia nilinyimwa.niliambiwa hadi huyo mchunba aje hapa Tanzania,tufunge ndoa,na tena awe ameishi zaidi ya siku 21 ndio anaruhusiwa kunioa.yani ni process ndefu sana na uwezekano wa kunyimwa visa ni 90%
  8. Caro Lynah

    Natafuta Kazi Ya Usafi

    Mzuri??May be alimaanisha ni mchapakazi maana kiswahili kigumu eti
  9. Caro Lynah

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Mie ndo mama mzazi,Mfalme wa kiha.mi sio kidume hahahaaa
  10. Caro Lynah

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Izzo ondoa hofu mkuu.ndio kazi yangu hiyo nasukuma siku.japo siku hizi wageni wamepungua sana kutokana na kodi nyingi na kero kwa wageni.si unajua bongo ni ngumu sana ukiwa huna kazi na una familia.
  11. Caro Lynah

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Daby nina mpango wa kwenda INDIA kuzisaka.je utaniunganisha na huyo agent anifanyie visa yangu na mwanangu ana mwaka mmoja?thanks in advance
  12. Caro Lynah

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    mkuu Izzo mimi ni verified host ninatumia Airbnb kupokea wageni.nina nyumba ya vyumba vitano na usafiri wa uhakika.naomba unifikirie
  13. Caro Lynah

    Diaspora wa India naomba msaada please

    kwa mujibu wake,alipo ni mbali sana na Delhi.sasa anataka kujua kama kuna agency sababu alimpa hela mdada anaerudi na simu uyo mdada alipotea mazima hadi leo.ndio maana yake
Back
Top Bottom