Hasa kwa wenye simu za Android au
touchscreen.
Ukiona applications zinakuja na kupotea au simu ipo slow ujue tatizo ni sd card.
Tuwe makini kuepuka sd card za kichina
Bundle za airtel huwa ni za kijanja. Mtandao upo slow mpaka inaexpire unakuwa bado na salio. Nina modem ya airtel nilishaacha kuitumia. Kwa sasa naona voda iko vizuri zaidi
Labda ungesema walimwengu wanapoteza muda mwingi kwenye mitandao.
Maana ulaya ni kila kitu kwenye mtandao.
Otherwise yours will be rudimentary ideology !
Mtoto hawezi kuzaliwa kabla ya wazazi.
Wazazi ni katiba ya Muungano then zinazaliwa Zanzibar na Tanganyika.
Hii ni kwa kuwa huwezi kutunga katiba nje ya Muungano.
Nampongeza sana Jaji Warioba na tume yake !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.