Ujio wa obama na matumizi ya bilioni 161

Ujio wa obama na matumizi ya bilioni 161

H20

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
341
Reaction score
170
Wadau hii imekaaje? Iwapo raisi wa Marekani anazuru bara la Afrika na kutumia zaidi ya TZS Bilioni 161, je atanufaika na nini? Na vipi kuhusu hapo Ubungo symbion kuna issue gani na wamarekani kwani Hillary Clinton akiwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani alikwenda kupatembelea na Obama pia atapita hapo. Je ni kwa manufaa ya nani? Naomba mnidadavulie.
 
Acha mambo ya ajabu ndugu yangu. huwezi mkuta chura juani bila sababu. Wale ni matajiri hiyo ni hela ya chaiti kwao. Kama Snoop ana gari la Bilion 5 rais kutumia hiyo ni kwamba itazalisha mara mia nyingi mno. We omba aondoke haraka tuendelee kuuza chipsi zetu mtaani. Kumbuka wanafungua shule wiki ijayona watoto wanataka ada za kurudi mashuleni. Mbona nyie hela zenu mnaficha Uswisi zinasaidia nn nchi yenu?
 
Acha mambo ya ajabu ndugu yangu. huwezi mkuta chura juani bila sababu. Wale ni matajiri hiyo ni hela ya chaiti kwao. Kama Snoop ana gari la Bilion 5 rais kutumia hiyo ni kwamba itazalisha mara mia nyingi mno. We omba aondoke haraka tuendelee kuuza chipsi zetu mtaani. Kumbuka wanafungua shule wiki ijayona watoto wanataka ada za kurudi mashuleni. Mbona nyie hela zenu mnaficha Uswisi zinasaidia nn nchi yenu?

Jipange kabla ya kuchangia.
 
Hizo gharama za mabango badala yake wange extend Mwananyamala, Temeke, Muhimbili hospital na kuongeza vitanda ili wadada zetu wasilale chini na vichanga vyao, pesa zimetoka fasta BOT kulipia bendera na picha!
 
Back
Top Bottom