Recent content by Captain tesha

  1. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Katibu Uenezi CCM, Kihongosi: Msiruhusu siasa kuingia kwenye maendeleo

    Mwambie aache kutuchukulia mademu zetu pale Ruahambuyuni pia aache kulewa na kujiangusha angusha kama cocastic tutampasulia YAI. Mfikishieni ujumbe, sisi madereva wa malori asiwe anatutaka pia akiwa amelewa na kutuita maskini tukiwa tumepark malori yetu pale Ruahambuyuni. Tutamchomea ndani...
  2. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Samia vipi humiweki status?
  3. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Msingi IDETE iliyopo Wilaya ya KILOLO - Iringa ipo katika hali mbaya sana

    Inasikitisha kuona watoto wanasoma hivyo.
  4. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    Dah. Hata kama amekosea, hii imezidi bro. Sio vyema.
  5. Captain tesha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bilioni 1.5 kwa kwa uzuri gani tamu uliyonayo? Hovyo kabisa Wewe Dada

    Mkongwe unaheshimika sana humu JF.
  6. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Lakini pia wapo wasioipenda hiyo channel mkuu. Lakini Injili ya Issa ina shida gani wao kuimba hadi wewe ukwazike na wakati quran inaeleza vizuri kuhusu huyo issa au kwa sababu hawaimbi kiarabu?
  7. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Hahahaha haya lakini lengo langu ni kutaka kueleza, tujifunze kuchukuliana na dini sio uadui bosi.
  8. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwani nyimbo za Injili zina shida gani? Mbona nyimbo zinazopigwa kwenye mabasi hazina shida na zinaeleza kuhusu Isa au kwa kuwa hawaimbi kiarabu? Basi tutawaambia waandishi wa nyimbo za Injili waimbaji kiarabu sasa au unasemaje mzee Makoti? Tutawaambia waimbaji jinsi alivyozaliwa huku mama yake...
  9. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Mengi tu. Lakini Injili ya Issa aliyezaliwa huku mama yake anapiga push ups huku anakula tende chini ya mtende pale Macca si ipo kwenye Quran? Tena ni Injili nzuri isiyochakachuliwa kama iliyochakachuliwa ya makafiri?
  10. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwani kuna shida gani kuweka Nyimbo za Injili? Injili kamili si ipo kwenye quran kama ilivyoteremshwa kwa kiarabu kwa Issa bin Maryam?
  11. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Na sisi tusiyovutiwa na hayo mambo je tusipande hayo magari? Acheni kufanya maisha yawe magumu sana. Jifunzeni kuchukuliana na mambo nyie vijana. Maisha hawahitaji userious kihivyo mkuu.
  12. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Kupotea kwa nyeti Kimazingira: Nchi ya wapuuzi na watu waliolaaniwa hii

    Tumetolewa kwenye reli kama nchi.
  13. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Hata nyie mpo mbali. Mmegundua kupotelewa na nyeti kimazingira.
  14. Captain tesha

    JamiiForums Tanzania Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Yatakusaidia nini? We endelea kupokea habari kuhusu kuondolewa kwa nyeti kimazingira. Hayo ndio yako na yanayokufaa bro. 😂😂😂
Back
Top Bottom