Recent content by Captain tesha

  1. Captain tesha

    Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Ukiwaza kwa kima, unakosa jibu kuwa serikali yetu ya chama tawala inamuogopa kwa ajili ya nini hasa. Inasikitisha.
  2. Captain tesha

    Raia wa Sudan akamatwa akijaribu kumchinja kwa kisu raia huko Belfast

    Kimsingi sasa Ulaya wanaamka japo hawajachelewa sana. Naona baada ya tukio hilo, kumeamka Movement ya kuwafukuza wahamiaji haramu wote toka nchi za Kiislamu. Inasikitisha japo wamechelewa sana.
  3. Captain tesha

    Katibu Uenezi CCM, Kihongosi: Msiruhusu siasa kuingia kwenye maendeleo

    Mwambie aache kutuchukulia mademu zetu pale Ruahambuyuni pia aache kulewa na kujiangusha angusha kama cocastic tutampasulia YAI. Mfikishieni ujumbe, sisi madereva wa malori asiwe anatutaka pia akiwa amelewa na kutuita maskini tukiwa tumepark malori yetu pale Ruahambuyuni. Tutamchomea ndani...
  4. Captain tesha

    WhatsApp Status yangu

    Samia vipi humiweki status?
  5. Captain tesha

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Lakini pia wapo wasioipenda hiyo channel mkuu. Lakini Injili ya Issa ina shida gani wao kuimba hadi wewe ukwazike na wakati quran inaeleza vizuri kuhusu huyo issa au kwa sababu hawaimbi kiarabu?
  6. Captain tesha

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Hahahaha haya lakini lengo langu ni kutaka kueleza, tujifunze kuchukuliana na dini sio uadui bosi.
  7. Captain tesha

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwani nyimbo za Injili zina shida gani? Mbona nyimbo zinazopigwa kwenye mabasi hazina shida na zinaeleza kuhusu Isa au kwa kuwa hawaimbi kiarabu? Basi tutawaambia waandishi wa nyimbo za Injili waimbaji kiarabu sasa au unasemaje mzee Makoti? Tutawaambia waimbaji jinsi alivyozaliwa huku mama yake...
  8. Captain tesha

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Mengi tu. Lakini Injili ya Issa aliyezaliwa huku mama yake anapiga push ups huku anakula tende chini ya mtende pale Macca si ipo kwenye Quran? Tena ni Injili nzuri isiyochakachuliwa kama iliyochakachuliwa ya makafiri?
  9. Captain tesha

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwani kuna shida gani kuweka Nyimbo za Injili? Injili kamili si ipo kwenye quran kama ilivyoteremshwa kwa kiarabu kwa Issa bin Maryam?
Back
Top Bottom