Recent content by Captain tesha

  1. Captain tesha

    Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Vipi kwenye dressing table unapojipamba haipigi?
  2. Captain tesha

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Ila kiukweli walimkamia Mke wa Mvuvi wa Uduvi pale Kizimkazi na ni kweli walimdharau sana siku ile na pia lile Neno lilisimama makusudi kumdhalilisha. Ni kweli Bi. Msumi aliona jeuri na dharau siku ile. Inaonekana jioni alipokaa peke yake alilia Mama wa watu na kujilaumu kwanini alienda kwenye...
  3. Captain tesha

    Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

    Hii ni ile iliyokuwa Hayataoulah au?
  4. Captain tesha

    Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

    Mbona Iran anashambulia nayeye wakati unasema USA/ISRAEL wamelishika anga lote la Iran?
  5. Captain tesha

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Jamaa mnajua kunifariji kweli nyie. Aiseeeee
  6. Captain tesha

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Leo muajemi wa Mpimbwe hujalala. Kunywa maji mengi yakusaidie kushusha pressure hiyo.
  7. Captain tesha

    Naomba kuuliza, kuna Kiongozi yeyote wa Afrika anatumia mabavu kuongoza kwa kuamini Russia na China watamsaidia likimkuta? This is a shame!

    PM wako huyo. Kwani hujui yule bibi wa Kizimkazi ni member humu na anatumia id ya cocastic
  8. Captain tesha

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    We upo wapi hapo au ndiyo huyo mwenye mzura hapo unalia hadi kutoa makamasi?
  9. Captain tesha

    Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

    Hahahaaha sasa wawaache. Bifu litaendelea baada ya mfungo sio. 😂😂😂
  10. Captain tesha

    Kwa UFUPI MAFWELE the Killer, hatoonekana tena as long as Mh Polepole, Mdude na wengineo walotekwa wataendelea kushikiliwa

    Jana kupitia uzi wa kula kimasihara alipokuwa anajiandikia sms na kujijibu ili apotoshe vijana wa JF. Hata kama hamumpendi mtu, sio vyema kupotosha we msukuma.
  11. Captain tesha

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Ulipostigi tu kwato twako kule selfika. Dah, kuna mwamba anaishi kabisa na wewe. Dah Mungu akusaidie.
  12. Captain tesha

    Mbunge, Zanzibar: Msituletee samaki kutoka bara, sie hatuli

    We mwamba una chuki sana. Dah na nikikumbuka na ule uzi wako wa kuiga mila za waarabu? Dah😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom