Mwambie aache kutuchukulia mademu zetu pale Ruahambuyuni pia aache kulewa na kujiangusha angusha kama cocastic tutampasulia YAI.
Mfikishieni ujumbe, sisi madereva wa malori asiwe anatutaka pia akiwa amelewa na kutuita maskini tukiwa tumepark malori yetu pale Ruahambuyuni. Tutamchomea ndani...
Lakini pia wapo wasioipenda hiyo channel mkuu. Lakini Injili ya Issa ina shida gani wao kuimba hadi wewe ukwazike na wakati quran inaeleza vizuri kuhusu huyo issa au kwa sababu hawaimbi kiarabu?
Kwani nyimbo za Injili zina shida gani? Mbona nyimbo zinazopigwa kwenye mabasi hazina shida na zinaeleza kuhusu Isa au kwa kuwa hawaimbi kiarabu?
Basi tutawaambia waandishi wa nyimbo za Injili waimbaji kiarabu sasa au unasemaje mzee Makoti? Tutawaambia waimbaji jinsi alivyozaliwa huku mama yake...
Mengi tu. Lakini Injili ya Issa aliyezaliwa huku mama yake anapiga push ups huku anakula tende chini ya mtende pale Macca si ipo kwenye Quran?
Tena ni Injili nzuri isiyochakachuliwa kama iliyochakachuliwa ya makafiri?
Na sisi tusiyovutiwa na hayo mambo je tusipande hayo magari?
Acheni kufanya maisha yawe magumu sana. Jifunzeni kuchukuliana na mambo nyie vijana. Maisha hawahitaji userious kihivyo mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.