Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

Kwani Lissu akiachwa afanye siasa bila kubugudhiwa serikali itapungukiwa na nini? Tena apewe ulinzi, apige domo la kutosha bila shida .

Serikali inamiliki jeshi,polisi,SIU, tume ya uchaguzi na mahakama. Hofu inatoka wapi?
 
Kwani Lissu akiachwa afanye siasa bila kubugudhiwa serikali itapungukiwa na nini? Tena apewe ulinzi, apige domo la kutosha bila shida .

Serikali inamiliki jeshi,polisi,SIU, tume ya uchaguzi na mahakama. Hofu inatoka wapi?
Ukiwaza kwa kima, unakosa jibu kuwa serikali yetu ya chama tawala inamuogopa kwa ajili ya nini hasa.

Inasikitisha.
 
Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
Mkuu Burita, britanicca , kuna vitu huwa unasema ni vya kweli lakini kuna vitu ni uongo na uzushi tuu kama wazushi wengine!.

I just dont believe this!.

P
 
Mkuu Burita, britanicca , kuna vitu huwa unasema ni vya kweli lakini kuna vitu ni uongo na uzushi tuu kama wazushi wengine!.

I just dont believe this!.

P
Kaka tutaelewana Kidogo Kidogo 900

Kumbuka kupitia post ya 9


Nililisema Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa kufukuzwa! Ukasema uongo,

Kwakuwa Nina ujuzi wa reporting ! We ukisema ni uongo ndo unakuwa umepigila msumari! Za uongo uwa wala hau comment

Hii mbinu tumejifunza LOGIC CHUO KIKUU

FALSE+FALSE = TRUE
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umeja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna list ya wanasiasa zaid ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
Kumekucha...
 

Attachments

  • Screenshot_20211029-110122.png
    Screenshot_20211029-110122.png
    561.9 KB · Views: 5
Hila poti na jina lako LA biscuit uwa nakukubali mno. Haya Mambo ndo yalivyo. wazee wa jeshi na IGP ndo hamnazo kabisa. Wa nadhani watafanikia, hiyo haipo. Mwaka huu lazima samaki amtapike Yona. Angekuwepo JPM(Juma Pombe Maharage) angewaambia ni kwa nini hakumuweka ndani Yona ambaye soon atatapikwa na samaki mkubwa anaitwa samurai.
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umeja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna list ya wanasiasa zaid ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
upuuzi upuuzi wa vijiweni
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umeja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna list ya wanasiasa zaid ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
Lisu siyo dalali wa siasa kama dj, damu yake haitamwacha mtu salama
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana jipya, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umoja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna orodha ya wanasiasa zaidi ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawana choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa waone

Nitarudi

Britanicca
🔥 🔥 🔥
 
Hata kama Tundu Lisu angekubali option ya kuchukua 5B halafu astaafu siasa, hizo pesa zisingemfikia zote. Hapo angeambulia 1B tu. 4B zingeenda kwa Wahuni. Refer: dili ya Profesa Tabora kuisaliti UKAWA, dili ya CHAUMA kuibomoa CHADEMA kuna Wahuni walineemeka.
 
Back
Top Bottom