Kipawa tunachangamoto na mradi huu wa SGR njia zote za kuingia Nyerere road zimefungwa kwa maana ya Vingunguti, Airpot na Majumba 6(njia panda), hakuna njia mbadala kwa wananchi wanaoishi maeneo hayo. Unajiuliza imeshindikana vipi kufunga njia moja wakamaliza matengenezo basi wafungue na kufunga...
Rais wetu mpendwa kazi anayofanya ya kutumbua majipu ni nzuri sanaaaa.... Lakini jambo hilo linampa sifa yeye kama yeye na wal ai serikali yake... Nionavyo mim ni heri awabane na kuwalazimisha watu anaowatumbua waresign wenyewe kabla ya kuwatumbua... Hii ingekua inawatia watu moyo zaidi maana...
Kwa ufupi kabisa... Kwenye bajeti ya serikali huwezi kutofautisha oc na recurrent expenditure kwa sababu matumiz yote ambayo ni recurrent yapo kwenye oc... Mishahara kwenye programz za bajeti ina part yake ambayo ni PE, lkn inaposomwa bajeti mara nying bajet ya mishahara wanainclude kwenye oc na...
Ndugu... Bunge la bajet likianza jaribu kusikiliza mgawanyiko wa fedha za serikali... Then utapata jibu maana inaonekana uelewi unachokisema... Reccurent expenditures ndio Other charges... Hakuna part ya recurrent kwenye programz za kuandaa bajeti ila oc ipo na matumizi yote yenye nature ya...
Recurrent expenditure ndio oc nikueleweshe wew sasa... Oc inashughulika na matumizi yote ya ofisi yenye nature ya recurrent... Na kwa taarifa tu oc mara nying ua ni 60 to 80% ya bajet yote ya serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.