Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,075
- 111,672
Pole sana mkuu
😂 kina dronedrakeMkeo kakutana na team KATAA NDOA
Pole, ila unapate ujasiri wa kumuita mtu amambaye hujafunga nae ndoa kua ni MKE wako,Habari wana Jamiiforums
Nilisafiri kwa muda wa siku kama 35 nikaenda Morogoro kufanya kazi, baada ya kukaa siku kama 30 nilirudi nyumbani ghafla kwenda kumsurprise mke wangu maana nilikuwa nimemmiss, nilipofika nilipigwa na butwaa baada ya kugundua kahamisha nguo zake, viatu, vyombo na kila kitu alichonunua yeye pale ndani na kabakiza vitu vichache sana.
Basi baada ya kumuuliza vitu vyake viko wapi amesema amevipeleka kwa rafiki yake ambae mim simjui. Baada ya kukosa maelezo ya kutosha niliondoka nyumbani na kurudi jioni nikakuta kabeba kila kitu kaondoka. Baada ya kufuatilia nikajua ameenda kanisani kwenye semina.
Hakurejea kabisa nyumbani na kwa muda wa siku 3 hapatikani kwenye simu na wala sikujua yuko wapi, hata wazazi wake pia hawajui.
Baada ya siku tatu akaanza kupatikana kwenye simu yake ndio akaitwa kwa wazazi akaenda na kusema ameamua tu kuondoka maana ameona hatujafunga ndoa na tumekaa miaka 2 hivyo amechoka kuzini anataka amrudie Mungu wake.
Ni kweli ndoa hatujafunga lakini taratibu za kiafrika zimefuatwa. Sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo. Kiukweli nimepata stress sana.
Mpaka sasa sielewi nini cha kufanya.
Naombeni ushauri
Basi Wanaume tulivyo na ujinga utaanza kumbembeleza arudi.
Shukuru Mungu amekuacha ukiwa na nguvu,bila shake angekuja kukuacha ukiwa mgonjwa kitandani.
Usimwamini Mwanamke kamwe,ishi nao kwa machale.
Kama amekutoroka huyo sio mke wako tenaAsanteni
Nilitaka kuandika hivihivi...😂Na wew torokaa...
Kichwa cha Uzi "mke kakutoroka na unaomba ushauri!" Content "ahsanteni".Asanteni
Pole kwa kuchelewa kusoma uzi, ushauri umeshatoshaKichwa cha Uzi "mke kakutoroka na unaomba ushauri!" Content "ahsanteni".
So unatushukuru kwa kumtorosha huyo mkeo ila Kuna Jambo baya litamkuta mtoroshaji au..?
Maana kwasie tulioendelea tumesoma kama Kuna kisasi fulani hivi ambacho kitalipizwa kwa njia ya mizimu au majini...😂
Utamuua na preshaNasimama na ex wako....unastahili kukimbiwa
NAKAZIATrust me, Hapo hukua na MKE mkuu