Recent content by Capt Tamar

  1. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi hata kuuza duka nimesomea ufundi mitambo (mechanical engineering) mkoa wa dar es salaam

    Kuna kazi ya ufundi mitambo, mbali na dar lakini.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Fursa ya ushirikiano wa kibiashara

    Ninq wazo, nina mipango tayari, na nia ya kuliendeleza, issue ni mbili, kwanza mimi si kijana, ni mtu mzima ninayesogelea uzee, pili mimi pia nina issues nyingine zinazoniweka busy muda mwingi, so ni either nikuuzie wazo langu alongside strategies, au tuungane kuli accomplish in other way...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mambo 20 ya kipekee usiyoyajua kuhusu Tanga

    Arusha hotel ilijengwa mwaka 1875, rekebisha
  4. C

    JamiiForums Tanzania Responded Mwigulu Nchemba: Maveterani wa Vita ya Kagera wataanza kulipwa mwaka huu wa fedha

    Kuna waliopigana na hawakuwa askari kamili, nakumbuka kuna hadi madereva wa malori walishushwa kutoka kwenye malori yao na kupelekwa vitani, hao pia watahesabika kuwa ni askari kwenye mpango huo wa malipo? Wale ambao wengi baada ya vita kuisha nyerere aliwatunuku vi vyeo kama katibu kata na...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Na ubwabwa wenyewe umeisha, sasa hivi wanagombania ukoko
  6. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Century of Electrification in 15 Years!

    Kwa msaada wa haohao mabeberu wa WB, kwa ccm hii ingechukua zaidi ya karne mbili ku electrify nchi nzima,
  7. C

    JamiiForums Tanzania Wafuasi wa chadema na wapinzani wengine nadhani mmeona wenyewe kuwa CCM si Mali ya mtu ni Mali ya watanzania

    Na pia ndiye mtoa roho, lazima aogopwe
  8. C

    JamiiForums Tanzania Namtafuta Lukas Mwanshambwa na wenzake

    Jinga kabisa wewe, pumbaff la taifa.
  9. C

    JamiiForums Tanzania TANZIA Pwani: Polisi wawili wagongwa kwa mkupuo na kufariki

    Hakuna polisi innocent
  10. C

    JamiiForums Tanzania Prove me wrong Hakuna fundi tajiri.

    Kijana wangu niliyemfundisha kazi miaka kadhaa nyuma alinitafuta juzi, amenishukuru na kunionyesha asset anazomiliki, nyumba kubwa tatu na room za wapangaji 60, ana gari mbili za kutembelea na mbili za kazi, na kazi anafanya hiyohiyo, hajawahi kubadilisha, mimi niliamua ku switch, kwa ajili ya...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Abduli anaenda kumuakilisha Samia kama nani huko nje ya nchi?

    We nawe jinga tu, unasoma huelewi, unaulizwa anaenda KUMUWAKILISHA RAIS akiwa kama nani? State visit ni tofauti safari ya familia
  12. C

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ni urithi wa uongozi wa Rais Samia utakaokumbukwa daima

    Kila alichoanzisha samia kinaitwa samia==== hilo si la samia, ndiyo maana ameogopa hata kubadili jina la mradi, cha samia labda ni hivi viwanja vya afcon, japo hata hakutoa senti yake. TUNAJUA
  13. C

    JamiiForums Tanzania Mambo 3 Yanayoweza Kumfanya Mwanamke Ajivunie Mwanaume Aliyenaye

    Huku kinondoni wanataka six pack, tena ishuke kutoka kwenye RR evoque, hapo binti kijora atakuelewa, siyo plan za maisha.
Back
Top Bottom