Hivi ile miti ya kivuli ijulikanayo kama Panga uzazi, ni kweli inaleta mabalaa kwenye familia? Maana watu waliiogopa sana, huko mkoani mara paliwekwa sheria kabisa, ukikutwa umepanda mti huo nyumbani kwako utaamuriwa kuungoa na kulipa faini ya shilingi 50,000
Lakini paliitishwa poll hapa, kati ya samia na Lissu nani ana faida kwa taifa hili, samia alipata kura nne kati ya mia, huku mheshimiwa LISSU akijizolea kura 96, na hizo zilikuwa ni kura za wazi, ambazo haziwekwi mikono na nec=ccm, hebu na wewe jaribu hata kuhoji watu wa mtaani kwako halafu...
Hiyo ni sifa ya muhaya, pesa ya mchagga inaonekana kwenye matokeo yake, siyo kupanga mabulungutu na kupiga picha, hivi Chief Godlove ni mchagga wa wapi yule?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.