Tanzania ipo nyuma kwa kila kitu, hata kwa mwezi kuandama tupo nyuma, lakini si kawaida ya bakwata kusubiri maelekezo kutoka ccm ndiyo wajue watangaze nini?
mkuu, kwenye suala hili kuna mengi ambayo hayajakaa sawa
Nilitarajia wachangiaji wa mwanzo kabisa wangeona mapungufu hayo na kuyaainisha kabla ya kuendelea na ushauri,
Kwanza unaeleza kuwa watoto wanaopinga wosia tayari walishauza maeneo yao, sasa hapo hata mahakama ingetaka kujua kuwa hayo...
Samia ndiye rais anayechukiwa zaidi na wananchi wake, anashika nafasi ya nne africa, na nafasi ya pili kwa afrika mashariki akitanguliwa na museveni wa uganda.
Sasa kifo tu cha mende ndiyo kimekuzungusha kooote huko? Wakati hata swali likitoka kwenye mtihani wa chekechea kuhusu maana ya kifo cha mende wanafunzi wote watapata tiki, kasoro Lucas Mwashambwa tu, maana lile ni jinga kabisa.
Si wayapeleke iran yakafanye kazi za maana? Hayo makombora yao yanasumbua tu samaki, wanajishtukia tu, marekani hapigani vita ya hasara, hana shida na makaa ya mawe, hata guruneti moja la marekani likidondoka pyongyang itakuwa ni hasara tu, hakuna cha kuchukua huko, wa relax.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.