Recent content by Capt Tamar

  1. C

    Car4Sale Harrier anaconda yenye sunroof na vigezo vyote iko sokoni

    Mbona ugomvi tena? Kuna linginechapa linauzwa 50m, limetoka japan direct.
  2. C

    story mbili

    Asante kwa kunifanya nitabasamu, japo moyo mzito Na wamesema tena eti tanzania tupo mkiani kwenye viwango vya furaha duniani.
  3. C

    Kenya watangaza muandamo wa Mwezi Baada ya Mufti Mkuu kusema kuwa amewasiliana na Mufti wa Kenya mwezi haujaandama

    Tanzania ipo nyuma kwa kila kitu, hata kwa mwezi kuandama tupo nyuma, lakini si kawaida ya bakwata kusubiri maelekezo kutoka ccm ndiyo wajue watangaze nini?
  4. C

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    Sidhani kama nimekuelewa sawasawa!
  5. C

    Waziri Mkuu, Wasaidie hii familia kwenye shauri la mirathi wasije kukatana mapanga

    mkuu, kwenye suala hili kuna mengi ambayo hayajakaa sawa Nilitarajia wachangiaji wa mwanzo kabisa wangeona mapungufu hayo na kuyaainisha kabla ya kuendelea na ushauri, Kwanza unaeleza kuwa watoto wanaopinga wosia tayari walishauza maeneo yao, sasa hapo hata mahakama ingetaka kujua kuwa hayo...
  6. C

    Kukubalika, Kupendwa na Kuaminika kwa Rais Samia Ndani ya Serikali Yake na Kwa Wananchi Kumedhibiti Kabisa Uvujuja wa Siri za Serikali

    Samia ndiye rais anayechukiwa zaidi na wananchi wake, anashika nafasi ya nne africa, na nafasi ya pili kwa afrika mashariki akitanguliwa na museveni wa uganda.
  7. C

    Kalonzo: Tunachunguza kwa umakini mauzo ya hivi karibuni ya hisa za Nation Media Group

    Rostam ndiye samaki aliyeozesha kapu zima, kila dili ya wizi yeye ndiye starring, jiulize, kwanini alikimbia kipindi Magu ananyoosha nchi? Mwizi!
  8. C

    Maisha ya mende (mdudu)

    Sasa kifo tu cha mende ndiyo kimekuzungusha kooote huko? Wakati hata swali likitoka kwenye mtihani wa chekechea kuhusu maana ya kifo cha mende wanafunzi wote watapata tiki, kasoro Lucas Mwashambwa tu, maana lile ni jinga kabisa.
  9. C

    Dubai kwisha!

    Wivu, anyway,yote miarabu, iuane tu, kuna na mwingine huku anawaita wajomba, wamnyunyizie tu naye atokomee huko firdaus.
  10. C

    Ukiifahamu dunia kisawasawa huwezi kufa njaa wala kufa masikini!

    Ukiona fursa unishtue baharia, mi mwenyewe sina mishe mjini hapa!
  11. C

    Korea Kaskazini yatupa makombora 10 ya "Ballistic" kujipima uwezo wakati huu wa vita ya Mashariki ya Kati

    Si wayapeleke iran yakafanye kazi za maana? Hayo makombora yao yanasumbua tu samaki, wanajishtukia tu, marekani hapigani vita ya hasara, hana shida na makaa ya mawe, hata guruneti moja la marekani likidondoka pyongyang itakuwa ni hasara tu, hakuna cha kuchukua huko, wa relax.
  12. C

    Boti iliyozama Kigoma na Watumishi wa afya, Kwanini haikuwa na life jackets?

    Dawa zifike tu! Hayo mengine yanaongeleka, ukizingatia %kubwa ya waliozama ni wana ccm kindakindaki, sisi tunataka dawa tu.
  13. C

    Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    Mchukue na Tlaatlaah muende naye wajaa laana nyie, Lucas Mwashambwa anawasubiri huko akawalambe
Back
Top Bottom