Recent content by Capt Tamar

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mwanaume Maskini hana nafasi ya kufanya makosa mfululizo

    Andiko lako ni zuri sana, ila hakuna agakayekuambia wala ku like kwa sababu moja tu, Wewe ni chawa takataka, hakuna anayekupenda.
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Ruto’s Security Breach Causes Major ShakeUp In Police Presidential Escort Unit

    Kenyan security ipo weak almost kila mahali, siyo psu tu,hata huko barabarani gen z wanawashika makalio daily
  3. C

    JamiiForums Tanzania Marekani mnafiki wa haki za binadamu duniani.! Ukistaajabu ya Musa

    Umeandika ujinga tu, umeishia kutaja kesi mojamoja ambazo ni za kawaida sana hata hapa kwetu,nyingine ni issue za kivita, kama tukianza kuorodhesha kesi kama hizo zinazotokea kila siku hapa Tanzania utagundua kuwa angalau marekani wana afadhali kubwa kulinganisha na Tanzania, kila siku polisi wa...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Brother, hivi si marekani walitoa list ya nchi ambazo ambazo watu wake hawaruhusiwi kuingia USA? Na Tanzania ipo kwenye list,so is to say watanzania wote haturuhusiwi kuingia us isipokuwa diplomats tu, sasa hii ban ina uzito gani tena?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    Siyo pengine, ndivyo ambavyo ingekuwa, na akimbie nchi sasa, maana hawataacha kumrudia na kummaliza kabisa, nchi imekuwa hatari sana hii.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Rio Frednand ajaziwa comments kuhusu matukio ya Mo29

    Mama akikosa adabu tunaenda kumshtaki kwa mjomba
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya KP leo 19/05/26

    Anasukuma nchi huku akiwa juu yake, anaishia kujamba tu, ngoma haisongi
  8. C

    JamiiForums Tanzania Jirani akinyolewa wewe tia maji kichwa chako

    Kenyatta alimwambia Nyerere anaongoza maiti, sijui alimaanisha nini
  9. C

    JamiiForums Tanzania Dangote Group kuingia ubia na Serikali ya Tanzania Mradi wa kusafisha mafuta ghafi unaokadiriwa kugharimu takribani Dola Bilioni 17

    Nimesoma weeee nione angalau mahali Alhaji Dangote amesema atajenga hiyo refinery hapa Tanzania ila sijaona, isipokuwa kwenye kichwa cha habari hii ambayo hata hivyo aliyeileta hapa si dangote, hebu tuonyesheni sehemu ambayo dangote amekubali na kukiri kuwa sasa refinery itajengwa tanzania na...
  10. C

    JamiiForums Tanzania V-2: Bidhaa Adimu ya Mjerumani iliyomtoa mmarekani Udenda

    Bado tunasubiria
  11. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Dangote leo Mei 16, 2026

    Siyo amruhusu, sema amuombe.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

    Seth ni singasinga,(si muislamu) Patel ni hindu (si muislam) Hao watatu wa mwisho hapo wote si waislam
  13. C

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Raisi tumepata ja

    Hicho kichwa cha habari kinahusiana na nini mheshimiwa?
  14. C

    JamiiForums Tanzania Picha ya Msiba Wako: Ukweli Mchungu

    Kila kitu unachoandikaga hapa naonaga kama ni takataka tu, sijui kwa nini!
Back
Top Bottom