Recent content by Capt Tamar

  1. C

    JamiiForums Tanzania Jinsi watu walivyongo'oa minazi wakiamini kuwa ni chanzo cha mabusha. Wewe umewahi kushuhudia madhara gani ya taarifa potoshi?

    Hivi ile miti ya kivuli ijulikanayo kama Panga uzazi, ni kweli inaleta mabalaa kwenye familia? Maana watu waliiogopa sana, huko mkoani mara paliwekwa sheria kabisa, ukikutwa umepanda mti huo nyumbani kwako utaamuriwa kuungoa na kulipa faini ya shilingi 50,000
  2. C

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mwana FA,Msigwa na Makonda wote Kuingia Mitini kwenye ziara ya Nchimbi uwanja wa Afcon Arusha

    Ni uwanja wa AFCON, we unatakaje?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Najuta kuoa mkibosho!

    Sababu za msingi ni kama zipi mkuu? Huenda ikawa ninazo, natamani mmachame hapa!
  4. C

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    Lakini paliitishwa poll hapa, kati ya samia na Lissu nani ana faida kwa taifa hili, samia alipata kura nne kati ya mia, huku mheshimiwa LISSU akijizolea kura 96, na hizo zilikuwa ni kura za wazi, ambazo haziwekwi mikono na nec=ccm, hebu na wewe jaribu hata kuhoji watu wa mtaani kwako halafu...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Watanzania haawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja,kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania hawana msimamo mmoja?

    Umeandika ujinga gani? Usome halafu unijibu taratibu, labda nitaweza kukuelewa.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mhadhiri wa Chuo Kikuu kupewa kesi ya ugaidi, Mgomo wa wafanyakazi UDOM wanukia

    Wewe ni K tu, huna lolote takataka
  7. C

    JamiiForums Tanzania Iran imepiga jengo la CIA Uarabuni, Marekani yailaumu Urusi kuwa imeisadia Iran Taarifa za kupiga

    Waliopigwa ni uarabuni, New york wala hawajui.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu inayoanika uozo na uholela ndani ya serikali!

    Ndiyo hivyo ndugu, ndiyo maana tunapigania katiba mpya yenye meno.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Breakdown anaombea ajali, wenye hosptali tuumwe, wale wa Sinza tukimbie ndoa zetu, garage gari ziharibike, acha kuomba uone list wanaotuombea mabaya

    Mtu pekee anayekuombea ufanikiwe ni MWIZI! Ili siku akikuibukia asikose chochote kitu.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu weusi matajiri popote duniani wanapenda kuonyesha maburungutu ya pesa kuonyesha mafanikio yao?

    Hiyo ni sifa ya muhaya, pesa ya mchagga inaonekana kwenye matokeo yake, siyo kupanga mabulungutu na kupiga picha, hivi Chief Godlove ni mchagga wa wapi yule?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu weusi matajiri popote duniani wanapenda kuonyesha maburungutu ya pesa kuonyesha mafanikio yao?

    Nionyeshe picha moja ya Aliko dangote akiwa na maburungutu ya hela nikuonyeshe cheti chako cha kifo,(death certificate)
  12. C

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Hapana, dogo ni Mujtabq al khomenei, huyu ni ayatollah al rezza arafi
  13. C

    JamiiForums Tanzania Heche, Mpina na wengine wanatumika kuichafua Serikali ionekane haifanyi kazi?

    Huu ni ujinga umeleta hapa, gazeti lenyewe jamvi la ccm.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Ni members gani wa JamiiForums thread/post zao hujawahi kuzielewa ?

    Tlaahtlaah na mwashambwa ni takataka
Back
Top Bottom