Umeandika ujinga tu, umeishia kutaja kesi mojamoja ambazo ni za kawaida sana hata hapa kwetu,nyingine ni issue za kivita, kama tukianza kuorodhesha kesi kama hizo zinazotokea kila siku hapa Tanzania utagundua kuwa angalau marekani wana afadhali kubwa kulinganisha na Tanzania, kila siku polisi wa...
Brother, hivi si marekani walitoa list ya nchi ambazo ambazo watu wake hawaruhusiwi kuingia USA? Na Tanzania ipo kwenye list,so is to say watanzania wote haturuhusiwi kuingia us isipokuwa diplomats tu, sasa hii ban ina uzito gani tena?
Nimesoma weeee nione angalau mahali Alhaji Dangote amesema atajenga hiyo refinery hapa Tanzania ila sijaona, isipokuwa kwenye kichwa cha habari hii ambayo hata hivyo aliyeileta hapa si dangote, hebu tuonyesheni sehemu ambayo dangote amekubali na kukiri kuwa sasa refinery itajengwa tanzania na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.