Jamani hli kombe la kopa cabana ebu onen kikosi kile cha federation cup pale ceaser huku dan alves kule fernadinho huku hulk kushoto oscar kdogo jo kdgo neymar mbele kabxa unamalza na fred mzki mgumu jaman
Wakuu habari zenu jamani hapa twataka kujua katika fainali zijazo za kombe la dunia huko brazil huku kukiwa na jumla ya timu 32 zote zikiwania kombe 1. Kiukweli siyo timu zote zitannyesha competition ya hali juu la hasha kuna zingne zitakuwa kama wasindikizaji. Kwa afrika tumefanikiwa kutoa timu...
Wadau poleni na majukumu mi kwa leo nilitaka kujua 2 kwa upand wako wewe unaonaje mechi ya arsenal na wigan kesho. Je arsenal katika kiwango kibovu alicho onyesha msimu hu wa pili huku akiwa na majeruhi wengi ataweza kumtoa wigan au kufungwa na je wigan ataweza kumfunga arsenal kama alivyofanya...
Hahaha!!!!!!! Wakuu habri zenu nina furaha kubwa sana kuiona man u ikiwa katika heka heka za kucheza au kutokucheza kabxa europa leage. Kwa sasa mech zake ztakuwj alhamis na ijumaa, au kwa lugha nyngine man u atakuwa anawacha wakubwa zake arsnal,live,chls, na city kucheza jumane na junatano...
Wadau poleni sana na kazi. Mi natafuta shule ya kusoma iwe private au govement nzuli yenye kombi ya egm. Kama zipo naomba unijulishe na kama ni za prvte naomba unielekeze japo sehemu ya kuzipata fomu zao za kujiunga na shule hzo. Na kama kuna swala la kucheki tokeo langu mi nina 2 na nimesoma...
Wadau poleni sana na kazi. Mi natafuta shule ya kusoma iwe private au govement nzuli yenye kombi ya egm. Kama zipo naomba unijulishe na kama ni za prvte naomba unielekeze japo sehemu ya kuzipata fomu zao za kujiunga na shule hzo. Asanteni wandugu kwa mchango wenu
Ki msingi haya makanisa ni mazuli tena yanafa cz wanamwabudu MUNGU wa kweli. Shida ni mkeo hajajielewa na haplay part yake kama mkeo mi nakushauli jalibu kwenda kusali hapo siku 1 lzma umwone MUNGU akikubdilisha mkuu
Wadau mech kali ndo hi siyo ile ya madrid na shalk 04. Hapa mo atakuwa anamkaribixa garatasalay tna ikiongonzwa na drogba na snijder huku chels wakiwa na babu wao kikongwe eto na ba. Swali kubwa je nan ataweza kuingia hatua nyngine, chels wikiend ameshuhudia akipigwa pale vila park na ramires...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.