Capogi jr.
Member
- Feb 14, 2014
- 49
- 7
Wadau poleni na majukumu mi kwa leo nilitaka kujua 2 kwa upand wako wewe unaonaje mechi ya arsenal na wigan kesho. Je arsenal katika kiwango kibovu alicho onyesha msimu hu wa pili huku akiwa na majeruhi wengi ataweza kumtoa wigan au kufungwa na je wigan ataweza kumfunga arsenal kama alivyofanya kwa man city au nae ndo ataangukia pua tu. Toa koment zako ila kua mstaarabu matusi hayahusiki hapa!!!!!!!