Ndugu wana jamii forum, mimi nimekutana na kituko hiki siku ya tarehe moja May 2018, ambapo taa nyekundu iliniwakia nikiwa nilishakuwa katikati ya makutano ya barabara ya Mwenge nikieleklea Lugalo Hospitali kumuwahi mgonjwa niliyepigiwa simu kwamba anahitaji emergence service.
Traffic...
As my colleagues have advised, I will not differ with them much, Just understand that making an early move to an African gentleman hasa mtanzania could lead to rejection if you do not make it carefully.
For me the far you have gone is very enough for a gentleman who is really a gentleman to see...
Katika umri wangu mdogo lakini wa kutosha kabisa kuona na kutambua palipo na uonevu, udhalimu, hofu, kutokujiamini, unyanyasaji, ujinga na kutokuona, ninayaona ya serikali yetu yaliyo ya ajabu sana.
Nawaza kwa ukimya nashindwa, nawaza kwa sauti bado nashindwa kuelewa. Huyu Tundu Lissu hamchoki...
Hello wanaJF wenzangu, jambo nalotaka kushare nanyi leo ni mtazamo wangu juu ya nini kinachotokea hivi sasa katika kampeni za kuomba kura kuelekea Octobner 25 ambapo watatnzania tutakuwa tukipiga kura, kuwacahagua viongozi wetu watakaotuongoza ktk kusababisha maendeleo ya nchi yetu kwa miaka...
Jamani hili jukwaa sio la matusi,tuelimishane. Kama kweli tafiti za TWAWEZA sio za CCM, tutaona zitakuwa na tofauti gani za zile ziliztangazwa na ccm.
Watuambie wamepataje hizo takwimu zao.
Kwa wale mlion na takwimu zitoeni basi, rusheni humu.
Inasikitisha sana kuona serikali na chama kikongwe kama ccm inataka kuwa chanzo cha kuvuruga Amani ya nchi kwa kutumia kodi za wananchi.
Huu ni wakati mwafaka kabisa wana habari mjitokeze muweke wazi mbinu hizi chafu zinazotumiwa na ccm kuvuruga Amani yetu.
Watanzania tumesha amua kusema...
Mimi japo sio mwanamke lakini , naomba nishauri kwamba muondoe kigezo cha mavazi ILA tu wasivae mavazi ya ccm. Wanaweza kuvaa mavazi yoyote yale.
Kwa wanawake wa Dar es salaam, nawashaur pia mwende mkamsikilize mzee anawaambia nini, huu ni wakati wa mabadiliko Tanzania, siamini kama Lowassa...
Bila hata tone la shaka, wewe ni mwanamke, tena umri mdogo kabisa,
Ushauri wangu kwako, kwanza unachokifuata uko ni mapezi maana unataka kuolewa na huyo kaka. Mapenzi amekunogea sasa umepewa condition hiyo unaweweseka. Sikushauri ufanye hicho kitendo maana hakina Baraka, ndo maana rafiki yako...
Inasikitisha sana kuona watanzania na akili zetu, bado ccm inatuaminisha kuishi kwenye zama za mwaka 1995. Siamini kama kuna mmoja wetu humu ndani asiyejua kama ccm wanafanya propaganda ya kutudanganya tuamini kwamba Lowassa pekee ndiye fisadi nchi hii.
Embu tujiulize swali dogo rahisi kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.