Hyo shule ipo kwenye kijiji, kata na halmashauri
Pia ina kiongozi wa kijiji au mtaa diwani na wajumbe wake
Hivi hao wameshindwa kutatua hyo changa moto?
Sometimes viongozi wa chin huku tunaowachaguwa uwezo wao mdogo wa kutatua changa moto
Demokrasia!!?
Hvi ichi gani inafuata kanuni za demokrasia na haki za binadamu?
Ni lile taifa la kitapeli na mabingwa wa props na mauaji ya kila siku au English people wapotoshaji
Kuna kipindi ilkuja moto sana
Inakamata popote nchin, lakin saiz hamna kitu natamani hata kuitupa lain yenyewe, ila navuta subra huenda kukawa na changes
Ni hatua nzur kwa rais kukabiliana na aadui
Tunasemaga adui muombee njaa na katika hili litampa mrusi nafas nzuri
1. Ataongeza thamani ya pesa ake
2. Zile pesa zake zilizofungiwa nje zitarud
3. Pesa za kigen zitaingia kupitia exchange ya rubles
Mahesabu mazur sana viongoz wetu wa Africa...
🇷🇺 Political dialogue with NATO in the current conditions is impossible, it makes no sense to even talk about the conditions for resuming contacts - Russian Foreign Ministry
Hawa jamaaa ni wajinga sana
Any way ni wakati sasa wa sisi African kulima ngano kwa wingi sana kwasabu
1. Tunalo soko la ndani ambalo washindani wetu wapo vtani acha waendeleee tujipgie hela
2. Tutapata na soko la nje pia maana muuzaji wa kimataifa yupo kukpiga chabumbu
Tulimen tuwaoneshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.