Recent content by Capastor

  1. Capastor

    DOKEZO Shule ya Msingi Irunda (Sengerema - Mwanza) ina Wanafunzi 900 ila madawati yapo 60

    Hyo shule ipo kwenye kijiji, kata na halmashauri Pia ina kiongozi wa kijiji au mtaa diwani na wajumbe wake Hivi hao wameshindwa kutatua hyo changa moto? Sometimes viongozi wa chin huku tunaowachaguwa uwezo wao mdogo wa kutatua changa moto
  2. Capastor

    Zitto: Mataifa ya Afrika yasiyozingatia masuala ya Demokrasia na Haki za Binadamu yanakimbilia zaidi China

    Demokrasia!!? Hvi ichi gani inafuata kanuni za demokrasia na haki za binadamu? Ni lile taifa la kitapeli na mabingwa wa props na mauaji ya kila siku au English people wapotoshaji
  3. Capastor

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapoitwa kwenye Usaili wa Kazi

    Mada muhimu katika wakati muhimu
  4. Capastor

    Baada ya Wenyeviti kuondolewa, Waziri Jerry Silaa avunja Bodi za TTCL, Shirika la Posta (TPC) na UCSAF

    Kuna kipindi ilkuja moto sana Inakamata popote nchin, lakin saiz hamna kitu natamani hata kuitupa lain yenyewe, ila navuta subra huenda kukawa na changes
  5. Capastor

    Urusi yatishia kusitisha usambazaji gesi Ulaya

    Ni hatua nzur kwa rais kukabiliana na aadui Tunasemaga adui muombee njaa na katika hili litampa mrusi nafas nzuri 1. Ataongeza thamani ya pesa ake 2. Zile pesa zake zilizofungiwa nje zitarud 3. Pesa za kigen zitaingia kupitia exchange ya rubles Mahesabu mazur sana viongoz wetu wa Africa...
  6. Capastor

    Marekani kutoa pipa milioni 1 za mafuta kwa siku kukabiliana na bei ghali ya bidhaa hiyo

    🇷🇺 Political dialogue with NATO in the current conditions is impossible, it makes no sense to even talk about the conditions for resuming contacts - Russian Foreign Ministry
  7. Capastor

    Rais Ramaphosa ailaumu NATO kwa mgogoro wa Urusi na Ukraine

    Wazungu hawataki kulaumiwa, ila wanapenda kuwalaum watu wenzao
  8. Capastor

    Umoja wa Ulaya: Afrika iungane na dunia yote kuipinga Urusi

    Viongoz watulie hyo vta sio yetu, ukikubar tu baadae utaambiwa changia wanajeshi wa kwenda kutoa msaada vitan
  9. Capastor

    Umoja wa Mataifa: Afrika itakumbwa na uhaba wa ngano kutokana na vita vya Urusi na Ukraine

    Hawa jamaaa ni wajinga sana Any way ni wakati sasa wa sisi African kulima ngano kwa wingi sana kwasabu 1. Tunalo soko la ndani ambalo washindani wetu wapo vtani acha waendeleee tujipgie hela 2. Tutapata na soko la nje pia maana muuzaji wa kimataifa yupo kukpiga chabumbu Tulimen tuwaoneshe...
  10. Capastor

    Kambi iliyokuwa inatumika na NATO yashambuliwa

    US kaua watu sana kuanzia viongozi mpaka raia Unafiki na uchochezi ndio nguzo kubwa anazotumia afu anajifanya mtoa msaada
  11. Capastor

    Wanajeshi wa Ukraine walioko DRC watakiwa kuondoka

    Watuachie mataifa yetu
Back
Top Bottom