Recent content by Canto

  1. Canto

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Kenya imekuwa ikipendwa na wazungu kwa sababu si tu ina vivutio, bali imewekeza sana kwenye marketing ya utalii (mfano “Magical Kenya”), ina miundombinu bora ya kufika kwenye mbuga na hospitality industry yao ilikomaa mapema kwa hoteli na tour companies za kiwango cha juu. Pia Nairobi ina urithi...
  2. Canto

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    When a country hesitates between military action and diplomatic pressure, it often signals internal divisions at the top, for example; the Pentagon may push for a strong response while the White House fears political or economic fallout. Trump’s “maybe I will” remark reflects a political...
  3. Canto

    JamiiForums Tanzania Je, Vita ya Israel na Iran Inaweza Kugeuka Vita ya Kidunia? – Uchambuzi wa Kijasusi

    Vita kati ya Israel na Iran sasa si tena mivutano ya chini kwa chini. Ni vita ya moja kwa moja, yenye mashambulizi ya makombora, drones, na mashambulizi ya anga yanayoathiri raia na miundombinu. Swali linalozidi kuulizwa sasa ni: Je, vita hii inaweza kusambaa hadi kuwa vita ya kidunia? Huu hapa...
  4. Canto

    JamiiForums Tanzania Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    Ramaphosa alikwenda Marekani kutafuta nafuu ya kiuchumi, kisiasa, na kidiplomasia — licha ya ubaridi wa mahusiano — kwa sababu bado hatuna nguvu ya kusema “hatuhitaji.” Na hii ndiyo hali halisi ya nchi nyingi za Afrika: tunakwenda hata kule tunakochukiwa, kwa sababu hatujajiandaa kuishi bila...
  5. Canto

    JamiiForums Tanzania Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    Rais Ramaphosa alikutana na hali ya fedheha, lakini hiyo si kwa sababu ya udhaifu wake binafsi pekee ni kwa sababu viongozi wa Afrika, kwa miaka mingi, wamejenga urais wenye mamlaka makubwa lakini misingi dhaifu: hakuna mfumo wa kujitegemea, hakuna umoja wa kweli wa Afrika, na hakuna sauti ya...
  6. Canto

    JamiiForums Tanzania Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    Maoni yangu juu ya tukio hilo kati ya Rais Donald Trump na Rais Cyril Ramaphosa ni haya yafuatayo: 1. Siasa za Maonyesho na Msukumo wa Ndani wa Trump Trump ana historia ya kutumia matukio yenye hisia kali ili kuvutia wafuasi wake wa mrengo wa kulia. Kwa kuonyesha video ya madai ya “mauaji ya...
  7. Canto

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotazaa Mkutano wa Rais wa Marekani, Donald Trum na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa

    Maoni yangu juu ya tukio hilo kati ya Rais Donald Trump na Rais Cyril Ramaphosa ni haya yafuatayo: 1. Siasa za Maonyesho na Msukumo wa Ndani wa Trump Trump ana historia ya kutumia matukio yenye hisia kali ili kuvutia wafuasi wake wa mrengo wa kulia. Kwa kuonyesha video ya madai ya “mauaji ya...
  8. Canto

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

    Louis vuitton Ombre Nomade, Tom ford oud wood my best fragrances ever
  9. Canto

    JamiiForums Tanzania Post raba /kiatu kikali hapa ili nasisi tuvae tupendeze

    Price $1,000 Designer Brand
  10. Canto

    JamiiForums Tanzania Post raba /kiatu kikali hapa ili nasisi tuvae tupendeze

    Louis Vuitton, Beverly Hills Trainers
  11. Canto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Melia wana hotel nzuri sana, nimewahi kulala Arusha na Dubai, dubai ME by Melia hatari san hiyo
  12. Canto

    JamiiForums Tanzania Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

    Kuna vitu vingi vya kuangalia kabla ya ujenzi wa barabara. Naamini katika njia ulizozitaja hapo kuna either makazi ya watu au viwanja. Inahitaji kulipa fidia kama unahitaj kuestablish new route. Kwahiyo katika hilo ni suala pesa. Unaweza lipa fidia ikazidi gharama za ujenzi
  13. Canto

    JamiiForums Tanzania Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

    150k
  14. Canto

    JamiiForums Tanzania Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

    Davidoff cool water
  15. Canto

    JamiiForums Tanzania Lodge bei nafuu Ubungo

    Nenda Mic hotel, bei 40,000 and above
Back
Top Bottom