Recent content by Canop

  1. Canop

    Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015

    tembelea website yao utayaona, kila la kheri kwa walioitwa!!
  2. Canop

    TANZIA Mwanafunzi wa UDSM (COET) agongwa na gari

    R.I.P Egfrid my clasmate, nimehuzunika sana kuondokewa na mwanadarasa mwenzangu....poleni wanafamilia na UDSM kwa ujumla!
  3. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Umetiririka vizuri ila umelazimisha Bukuku aonekane yupo sahihi kwa alichofanya: je kwa kipi Lowassa amefanana na mfalme Suleimani??? msanii yoyote hawez kurupuka tu na kumwimbia mtu fulani lazima kuna 'ulaji' mkuu....
  4. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    big up sana mkuu, watu wanadhani wokovu ni kirahi tu....si kila mwimba injili kaitwa na Mungu, wengine wana yao.
  5. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Mungu tusaidie....masikini sisi walala hoi.
  6. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Naona wewe umetafakari kwanza na ukaandika hicho ulichoandika...... Injili na nyimbo za kidunia???? kwa mkristo atakuwa ameelewa nin maana ya mipaka....kila kitu kina ukomo, hakuna kitu ambacho kina uhuru: ndio maana kuna muziki wa injili, na usio wa injili (kidunia), no common point between...
  7. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Umenena vyema, tamaa ya pesa na kutaka kujulikana ili kujipatia umaarufu ndio tatizo linalowasumbua waimbaji wengi wa injili, hawaangalii mazingira ya huduma na mipaka yake....tuwaombee sana!
  8. Canop

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Umenena vyema!
  9. Canop

    Uso kwa uso na Jambazi Sugu

    rudia kusoma kwa umakini zaidi utamuelewa tu.
  10. Canop

    Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    Akili ya maisha haitegemei kusoma tu, huyo mama ni mzembe kupitiliza natumai mumewe atakuwa kamlipua makofi japo haisaidii kumpata mtoto lakin itamfanya mkewe kuwa makin wakati mwingine na kutorudia ujinga aliofanya.
  11. Canop

    Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    Kafanya uzembe sana huyo mama...
  12. Canop

    Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    Inauma sana aise, mama wa mtoto kafanya kosa kubwa mno: 1. mtu humjui anakutaka muongozane kununua sweta unaenda tu...we hukuona umuhim huo mapema? 2. umenunua sweta sawa, iwaje unadiriki kupanda pikipiki tofauti na mwanao ili hali huyo msamaria uchwara humfaham? damu yako kweli unaachia...
  13. Canop

    Hata baada ya miaka miwili, umiss upigwe marufuku

    Mungu atusaidie na kutusamehe wanadam, wanawake nao wajitambue jamani, tuwaombee sana wanawake.
Back
Top Bottom