Msaada: Jinsi ya kupata Ramani ya Nyumba

janjab

Senior Member
May 28, 2015
172
56
Nilikuwa nauliza jinsi ya kupata ramani nzuri ya kisasa ya nyumba ya kawaida vyumba vitatu sababu huku nilipo upatikanaji wa ramani ni issue.
 
mimi ninayo ya chumba tatu, ina mpaka ramani ya makaro ya maji taka ila sijaitumia wewe uko wapi?
 
Google sio rahisi kama kuweka Picha ya Diamond au Wema sepetu, hii ni kazi na inawaweka mjini watu wengi, wewe nenda Pm upewe bei, ramani niliyonayo mimi niliilipia pia
 
Floor_Plan.jpg 1_cc8ac21f-d2ee-4508-916f-ea3f7bdfb05a.jpg
 
Ninsima Infinite,tunakutengenezea ramani from the scrach..bei zetu ninafuu. ArchDesign Pack ndio pack unayohitaji ambayo tuna:
-survey your land-land survey report
-makes consultation
-map
-3D images
natunakupatia map hard copy plus softcopy of both pack.
bei zetu ni nafuu na nogotiable.
 
Ninsima Infinite,tunakutengenezea ramani from the scrach..bei zetu ninafuu. ArchDesign Pack ndio pack unayohitaji ambayo tuna:
-survey your land-land survey report
-makes consultation
-map
-3D images
natunakupatia map hard copy plus softcopy of both pack.
bei zetu ni nafuu na nogotiable.

Naomba taja bei zako
 
Kama ulipo ramani ni shida kujenga utajengaje ikiwa ramani ni shida??
 
Asante,baada ya kufanya survey ndio tunakupa gharama zetu(they are negotiable),gharama ya kuservey ni 100,000/-(also negotiable)

Duu we jamaa kiboko kwenda kuona tu (kuservey) ni laki? Hiyo ramani kuiandaa si utasema milioni au malaki we hufai kwa mkopo wala kuwekwa bondi yani hufai kiukweli
 
Mara yangu ya kwnaza kumuona ndugu yangu Augustino Moshi akiandika namna hii yaani ni mzalendo mwafrika wa hali ya juu na aliyoandika kwenye reply yake ni sawa kabisa na vile vile hata mimi nimekaa sana Zimbabwe na ninafahamu vizuri sana system inavyofanya kazi na hatua za Mzee RObert MUgabe ni sawa kabisa ,hawa watu kwanini wang'ang'anie ardhi ambayo hawakuilipia hata cent moja?.JK kafanya kitu chaa maana kuonyesha mapenzi yetu kwa ndugu zetu watu wa Zimbabwe na kumbukeni hizo ni nyayo za mzee Kambarage anazozifuata JK ,sio kitu kigeni kwa mtanzania kuwa upande wa mwafrika mwenzake hatukuanza leo wala jana hatua kama hizo ,tuliupigania uhuru na damu ya mtanzania nayo ilimwagika katika nchi hiyo.
UHuru???...kazi ya chama
Willo

Haya kaka
 
Back
Top Bottom