nilikuwa nauliza jinsi ya kupata ramani nzuri ya kisasa ya nyumba ya kawaida rum tatu coz huku nilipo upatikanaji wa ramani ni issue
Ninsima Infinite,tunakutengenezea ramani from the scrach..bei zetu ninafuu. ArchDesign Pack ndio pack unayohitaji ambayo tuna:
-survey your land-land survey report
-makes consultation
-map
-3D images
natunakupatia map hard copy plus softcopy of both pack.
bei zetu ni nafuu na nogotiable.
Naomba taja bei zako
Huyu ka google ukimuuliza map reading hapo na scale interpretation ndio utachanganyikiwa.Tafadhali taja bei yako ! nipo srias pm sijui kutumia
Asante,baada ya kufanya survey ndio tunakupa gharama zetu(they are negotiable),gharama ya kuservey ni 100,000/-(also negotiable)
Mara yangu ya kwnaza kumuona ndugu yangu Augustino Moshi akiandika namna hii yaani ni mzalendo mwafrika wa hali ya juu na aliyoandika kwenye reply yake ni sawa kabisa na vile vile hata mimi nimekaa sana Zimbabwe na ninafahamu vizuri sana system inavyofanya kazi na hatua za Mzee RObert MUgabe ni sawa kabisa ,hawa watu kwanini wang'ang'anie ardhi ambayo hawakuilipia hata cent moja?.JK kafanya kitu chaa maana kuonyesha mapenzi yetu kwa ndugu zetu watu wa Zimbabwe na kumbukeni hizo ni nyayo za mzee Kambarage anazozifuata JK ,sio kitu kigeni kwa mtanzania kuwa upande wa mwafrika mwenzake hatukuanza leo wala jana hatua kama hizo ,tuliupigania uhuru na damu ya mtanzania nayo ilimwagika katika nchi hiyo.
UHuru???...kazi ya chama
Willo