Recent content by Canon 2021

  1. Canon 2021

    Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

    Ile location ukipiga picha zinakuwa nzuri sana...ila panahitaji maboresho zaidi
  2. Canon 2021

    Naomba ufafanuzi wa tatizo la figo

    Pendelea kunywa juice ya nyanya glass moja kutwa mara tatu.niliona sehemu akielezea jinsi nyanya ilivyo tiba.kula nyanya kama matunda mara kwa mara.punguza matumizi ya chumvi nyingi na mafuta
  3. Canon 2021

    Ugonjwa wa kujikuna wa hivi karibuni usio wa kawaida je umekupata?

    Mafuta ya kupikia huwa yaneleta sana hiyo changamoto hasa haya ambayo sio pure alizeti.Anza kwa kubadili mafuta ya kupikia alaf kama tatizo likizidi umuone doctor
  4. Canon 2021

    Adaiwa kuua mke baada ya kunyimwa unyumba

    Mungu atusaidie maana dunia imekuwa na mambo mengi!! Hivi wanaume mnaosema mnawaheshimu mama zenu mnashindwa vip kuwaheshimu wake zenu? Hv mnadhani ni kazi ndogo kuzaa? Siku thelathini ni siku chache sana kwa mwanamke aliyejifungua kuanza kushiriki tendo.Kwanini usiongee na mkeo vizuri...
  5. Canon 2021

    Nahitaji tiba ya mtu aliyepooza na uvimbe kwenye ubongo

    Kuna sehemu nilisoma hii. Unachukua mbegu za parachichi unasaga kwa kutumia greater thn unaanika.alaf utakuwa unachemsha unampa mgonjwa kutwa mara tatu.pia kuna mdada huko uoutube au tiktok anajiita jenifferatta huwa anajibu sana maswali hayo na kuonyesha tiba mbali mbali za mimea
  6. Canon 2021

    Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

    Naomba unielekeze hii mkuu
  7. Canon 2021

    Msaada wa Tiba la tatizo la low sperm count

    Pole sana kwa tatizo ulilonalo..mimi ningekushauri ubadili aina ya vyakula unavyokula.pia niliona sehemu wanasema kama una low sperm count uwe na mazoea ya kunywa mchanganyiko wa karafuu ,kitunguu swaumu na tangawizi kutwa mara tatu.pia uwe unatumia asali mara kwa mara .kama hutojali jaribu...
  8. Canon 2021

    Wanaume wa mitandaoni mjue kuwa si kila mwanamke aliyepo mtandaoni anashida na mwanaume

    Hizi ndo akili za kipuuzi nazozungumzia..hivi unadhani ni rahisi kunichafulia hali ya hewa wakati sikujui na wewe hunijui.Man up bro😁😁😁😁
  9. Canon 2021

    Wanaume wa mitandaoni mjue kuwa si kila mwanamke aliyepo mtandaoni anashida na mwanaume

    Hata kama mnamkosoa mtu basi mkosoeni kwa hoja sio kwa matusi na dharau...kujenga taswira kwamba unamjua mtu kwa mabandiko yake huko ndo kukosa akili..Hapa kila mtu anaandika analojisikia maana hatufahamiani.so don't take things so seriously.
  10. Canon 2021

    Wanaume wa mitandaoni mjue kuwa si kila mwanamke aliyepo mtandaoni anashida na mwanaume

    Elimu ya Tz bana. Sijui kama huwa inawasaidia baadhi ya watu.kuna menopause kwenye huo umri?km wewe umezaliwa wa kwanza kamuulize mzaz wako alimzaa mdogo wako akiwa na umri gani.acheni kudharau wanawakee.ndo mama zenu na dada zenu bila kusahau ndo wake zenu na watoto wenu
  11. Canon 2021

    EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

    Yule mtu bana alikuwa na dharau flan baada ya kutusua kwenye haya maisha.Akawa na dharua za hapa na pale na anajua wadada wengi wanamng'ania.baada ya mim kumaliza chuo nkaondoka Dsm tukawa tunawasiliana ila kwa kusua sua..hapo mim sina kazi basi hata nkimtafuta mara niko bz unajua kazi za...
  12. Canon 2021

    EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

    😐😐siwezi mpa atanidharau mimi na hubby....alaf ukishakuwa x wangu yan huwa sirudi nyuma..
  13. Canon 2021

    EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

    Hata hatukuachana kwa kutamkiana..ila distance ikatufanya tukapunguza mawasiliano hadi kila mtu akaendelea na maisha yake mengine..ila eti siku hizi ndo anajutia kosa lake.ila ameshachelewa sana may b alijua atazunguka weee mwisho atanikuta nipo tu tuendelee
Back
Top Bottom