kwa sisi tulioko tunduma - momba mby kwa sasa ni kama wazambia tu coz kila wakati majira yanasoma ya kizambia tu na hata radio zinazopatikana sana ni za kizambia, saa mbili usiku ndo giza linaanza kuingia
Wadau, nahitaji kujua coz bado sijalielewa vzr suala la Mkono, hivi huko ughaibuni alienda kwenye issue gani?,
Na inasemekana suala la ESCROW ni suala linalohusishwa na njama za kumuua mheshimiwa, sababu ni nini hasa?, ana uhusika gani na hili suala la ESCROW?, ni hayo tu!
tiGO wameshapata wateja wengi, sasa wameelemewa, kuna suala la voucher zao, hazina ubora kbs, ukikwangua ikatokea umekwangua hadi zile namba, ndo imetoka hutarudishiwa huo muda wa maongezi hata kama umewasilisha hiyo card ya vocha ktk ofisi husika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.