Pia acheni kujidanganya eti mnadhibiti upinzaani/ watanzania waliowachoka
Hahaha kama ni hivyo basi wasijidanganye eti wanadhibiti WAPINZANI/ RAIA WALIOWACHOKA. hakuna aliefanikiwa katika hilo tembea uliza kote ulimwenguni
Sio kweli mzee, story ni hivi watanzania tuliowengi hatuitaki ccm.
Hivyo kusema upinzani unaguvu ni kama unazunguuka kitu hivi, hao unaowaona wananguvu ni raia wa nchi hii ambao wanaonyesha dhahiri kabisa kuwa,WAMEICHOKA CCM.
Hivyo tambua wazi kabisa hiyo nguvu unayoina ni matokeo...
Ni Sawa Kiongozi mzuri asie na scandal, ujivuni ni mtanzania asie na mashaka ila kwa urasi ni bado anahitaji akomae haswa.
Bado hatujamuona akisimamia majukumu mazito inabidi adumu kwenye cabinet angalau 15yrs na huko kwenye chama Chao pia.
Infact he need to grow more politically
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.