Recent content by Canivor

  1. Canivor

    Magufuli anaandaliwa kukaa madarakani kwa muda mrefu zaidi

    Umerogwa ndugu hahaha
  2. Canivor

    Mikoa inayochagua CCM lakini CCM hawawataki hii hapa

    Pwani tumeoza hasa hasa Mkuranga akh
  3. Canivor

    Kwanini Kinana na Nape hawakuwaogopa kabisa wapinzani kama ilivyo kwa warithi wao ?

    Hahaha wanao ujua uhondo wa ngoma ni wale wanao icheza mzee. Hahaha nacheka kwa mara nyingine ili niongeze siku zakuishi.
  4. Canivor

    Taifa stars squad na uongo wa umri

    Hii nyuzi inafaida gani kwetu? Fikirieni faida na hasara ya mnayoyaandika kwanza mazee.
  5. Canivor

    Mchungaji Lusekelo: Chadema walipata kura milioni 6 za urais 2015 hivyo wakiruhusiwa mikutano watahatarisha amani

    Pia acheni kujidanganya eti mnadhibiti upinzaani/ watanzania waliowachoka Hahaha kama ni hivyo basi wasijidanganye eti wanadhibiti WAPINZANI/ RAIA WALIOWACHOKA. hakuna aliefanikiwa katika hilo tembea uliza kote ulimwenguni
  6. Canivor

    Mchungaji Lusekelo: Chadema walipata kura milioni 6 za urais 2015 hivyo wakiruhusiwa mikutano watahatarisha amani

    Sio kweli mzee, story ni hivi watanzania tuliowengi hatuitaki ccm. Hivyo kusema upinzani unaguvu ni kama unazunguuka kitu hivi, hao unaowaona wananguvu ni raia wa nchi hii ambao wanaonyesha dhahiri kabisa kuwa,WAMEICHOKA CCM. Hivyo tambua wazi kabisa hiyo nguvu unayoina ni matokeo...
  7. Canivor

    Ngorongoro: Kwa miaka minne hakuna tembo, faru aliyeuawa

    . Me too, I never salute him from way back
  8. Canivor

    Kauli ya Spika Ndugai Bungeni leo sio kauli ya kizalendo

    Kuna watu mmejaaliwa akili za haraka naungana nawe
  9. Canivor

    Jafo ni waziri ni mfano wa kuigwa

    Ni Sawa Kiongozi mzuri asie na scandal, ujivuni ni mtanzania asie na mashaka ila kwa urasi ni bado anahitaji akomae haswa. Bado hatujamuona akisimamia majukumu mazito inabidi adumu kwenye cabinet angalau 15yrs na huko kwenye chama Chao pia. Infact he need to grow more politically
  10. Canivor

    Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

    Walahi kuna watu wakorofi sana humu dah nimecheka hadi nimefungulia kwa kumeza machozi yaliyotiririka hadi mdomoni
Back
Top Bottom