Alitoa hela zake mfukoni? Acha wazimu wewe mdudu, hizo ni hela zetu za kodi.
Naanza kuamini kwamba huyu mtu akishajua anaondolewa hizi ndege ataziharibu makusudi kwa ule mtindo maarufu wa tukose woteDege kubwa la abiria..
Badala lifanye safari za kwenda Ulaya na Uchina kuleta watalii kama tulivyoaminishwa mtu mmoja anaamua kwenda nalo kijijini kwao akawaringishie wanakijiji wenzake...Sisi wengine huwa tunakwenda kutamba na vi-Premio vyetu..
Yan watani zangu hawa itokee anunue shati jipya, au baiskeli, au pikipiki au godoro...lazima wanakijiji wenzie wote wamtambue, sembuse aliyenunua dege dude lile...
Hoja ni kwamba ATCL wacha ife tu...itaepukaje kifo kama mtu 1 anaamua kuharibu utaratibu wa biashara wa shirika kwa yeye kuchukua ndege ya kubeba abiria 260, akaenda kutembea nayo kijijini? Isitoshe huyu ana ndege zake na alishazigawa kwa shirika kwa kudai hana haja nazo, kumbe alifanya vile baada ya kuona madude haya makubwa yamewasili kumbe ameyatamani dadeki..
Bado na yule mwanae akitoka Misri naye atakuja kufanya kituko kama hiki, maana kila kitu hupenda kumwiga baba yake...naye lazima ataichukua Boeing kwenda nayo Kolomije.
ATCL nyie endeleeni na utaratibu wenu wa kukatisha tiketi, then ahirisheni safari, au ondokeni kabla ya muda...
Mzigo mzito mpeni Mnyamwezi aubebe😅
HahahaMimi nilipoona tu zile suti oversize, nikajua nchi iko mikononi mwa washamba!
Ndege kanunua mwenyewe tena kwa cash sasa unataka hata kupanda nayo ajinyime!?
Hiyo inaitwa biashara holela
Sasa Mkuu umeshajiuliza hela za kununulia ndege zimetoka wapi?Akili za watu wa lumumba fc.
Sasa Mkuu umeshajiuliza hela za kununulia ndege zimetoka wapi?
Sio mtu mmjaa wewe pumbavu..
Huyu ni Rais wa nchii na anatuwakilisha wananchii. Atakapo panda tumepanda wananchi wote 60M..
Kuna naadabu..
Duh! Hii ni zaidi ya Bashite......Sio mtu mmjaa wewe pumbavu..
Huyu ni Rais wa nchii na anatuwakilisha wananchii. Atakapo panda tumepanda wananchi wote 60M..
Kuna naadabu..
maporini utakrashi....nut itakuwa poa sana ukikrashi huko!Huo ni mwanzo tu , subiri kampeni za uchaguzi zianze utatua hata maporini .
Go hang, pumbavu!Sio mtu mmjaa wewe pumbavu..
Huyu ni Rais wa nchii na anatuwakilisha wananchii. Atakapo panda tumepanda wananchi wote 60M..
Kuna naadabu..
Taarifa nilizonazo zinasema kuwa ndege hiyo ilikodiwa na serikali
Wewe ukiwa unaenda kijijini kwenu kutamba na vi-premio, ukumbuke tupo tusio hata na baiskeli. Hivyo umshukuru Mungu kwa kuwa na premio: na ujue kuwa kamwe hamtalingana kama makalio bali mtakuwa kama vidole.Dege kubwa la abiria..
Badala lifanye safari za kwenda Ulaya na Uchina kuleta watalii kama tulivyoaminishwa mtu mmoja anaamua kwenda nalo kijijini kwao akawaringishie wanakijiji wenzake...Sisi wengine huwa tunakwenda kutamba na vi-Premio vyetu..
Yan watani zangu hawa itokee anunue shati jipya, au baiskeli, au pikipiki au godoro...lazima wanakijiji wenzie wote wamtambue, sembuse aliyenunua dege dude lile...
Hoja ni kwamba ATCL wacha ife tu...itaepukaje kifo kama mtu 1 anaamua kuharibu utaratibu wa biashara wa shirika kwa yeye kuchukua ndege ya kubeba abiria 260, akaenda kutembea nayo kijijini? Isitoshe huyu ana ndege zake na alishazigawa kwa shirika kwa kudai hana haja nazo, kumbe alifanya vile baada ya kuona madude haya makubwa yamewasili kumbe ameyatamani dadeki..
Bado na yule mwanae akitoka Misri naye atakuja kufanya kituko kama hiki, maana kila kitu hupenda kumwiga baba yake...naye lazima ataichukua Boeing kwenda nayo Kolomije.
ATCL nyie endeleeni na utaratibu wenu wa kukatisha tiketi, then ahirisheni safari, au ondokeni kabla ya muda...
Mzigo mzito mpeni Mnyamwezi aubebe😅