Recent content by candygrapez

  1. candygrapez

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Mdau sijui ya mwaka jana ila mwaka huu wako na system ambayo sijui ndo hiyo aquaponic ambayo wana pump, mabwawa na vitank viwili pemben vya kuchuja taka ngumu na ammonia na wana system ya kuingiza oxygen moja kwa moja kwenye maji na wanasema maji ni hayo hayo kuanzia unaanza kufuga mpaka...
  2. candygrapez

    The difference between Toyota VVTI and D4 Engines

    Vipi bwana Professor! Unaweza nisaidiafeedback ya gari lako? Nimenunua RAV4 ya hiyo engine D4 haina hata week, baadatu ya kubadilisha hydraulic oil ,engine oil na filter imeanza kuleta matatizo?plznaomba nijuze. Nashukuru
  3. candygrapez

    Local investor’s $ 35m luxury lodge project hangs in the balance

    hii nchi inakatisha tamaa sana,sijui tutafika wapi kwa longo longo hizi. Na ndo maana hata watu wenye mitaji mikubwa bado wamekazana na umachinga wa kununua na kuuza bidhaa za china sababu ukifkiria kufanya investiment ya maana bongo ,ndo mwanzo wa mwisho wako. INASIKITISHA SANA
  4. candygrapez

    Bei ya mahindi nchini inasikitisha

    wadau naomba kuuliza , baada ya kukoboa na kusaga, kilo moja ya mahindi ya dodoma yanaweza yakatoa unga kiasi gani?
  5. candygrapez

    biashara/kiwanda cha kutengeneza viroba (PP bags)??

    Za leo ngugu zangu? natumaini mambo yanaenda vizuri. Hivi karibuni nimekuw nikiwaza sana juu ya kufanya small investiment hapa bongo, na nimepata mawazo mawili: 1. kununua mashine ya kusaga nafaka, nitengenze unga nipaki kwenye viroba na kisha niuze. Ingawa kwa wazo hili najiona kama nimechelewa...
  6. candygrapez

    Natafuta kiwanja nje ya jiji la Dar

    nashukuru ndugu Kurunzi na Malila kwa mchango wenu,tutawasiliana. Mbarikiwe.
  7. candygrapez

    Natafuta kiwanja nje ya jiji la Dar

    habari ndugu zanguni? ninaomba mnisaidie kwa hili,natafuta kiwanja/shamba maaeneo ya nje ya jiji la Dar kwa ajili ya investment kama ufugaji,kilimo au ujasiliamali mwingine ambao nitaona unafaa kwa hilo eneo,shamba liwe kubwa ekari 7 na kuendelea. nilisikia kiluvia kuna mashamba,kuna mtu anaweza...
  8. candygrapez

    nyumba ya kupanga tegeta nyaishozi

    ok ww uko tayari kwa kiasi gani? nahitaji kufanya research kujua japo range ya bei kwa maeneo hayo ili kuwa relistic zaidi,but if you are interested tunaweza kufanya majadiliano zaidi hata kwa njia ya simu. karibu
  9. candygrapez

    nyumba ya kupanga tegeta nyaishozi

    ahsante ndugu kwa insight,na madalali wa kuaminika kwa maeneo hayo nitawapata wapi?
  10. candygrapez

    nyumba ya kupanga tegeta nyaishozi

    ndugu The Boss kama nilivyojieleza hapo juu sina uzoefu na bei za nyumba huko tegeta ndio maana nimeomba elimu hiyo kwa wana jamii wanijuze, unahitaji kupangishwa mzee?
  11. candygrapez

    nyumba ya kupanga tegeta nyaishozi

    Habari wana jamii forum, nina nyumba yangu mitaa ya tegeta nyaishozi haiko barabarani,unaingia ndani kama mwendo wa dakika 10 kwa mguu toka barabara kuu,ninayohitaji kuipangisha ,ila tatizo niko mkoani Shinyanga ambako ndiko ninaishi kwa sasa,na sina uzoefu na upangaji/upangishwaji wa nyumba kwa...
  12. candygrapez

    nyumba ya kupanga tegeta nyaishozi

    Habari wana jamii forum, nina nyumba yangu mitaa ya tegeta nyaishozi haiko barabarani,unaingia ndani kama mwendo wa dakika 10 kwa mguu toka barabara kuu,ninayohitaji kuipangisha ,ila tatizo niko mkoani Shinyanga ambako ndiko ninaishi kwa sasa,na sina uzoefu na upangaji/upangishwaji wa nyumba kwa...
Back
Top Bottom