Hicho ndio kigezo cha chakwanza ili kuwa muumini wa ccm (kigeugeu) mbona hushangai bungeni wabunge wa ccm wanavyo kosoa bajet halaf wanaiunga mkono Hilo ndio sharti la kwanza
Hivi kuna wizara ipi bajeti yake inayopitishwa na magufuli, kujenga barabara ni wajibu wa serikali kwa watanzania kwakua tunalipa kodi, dah kweli watz tunaulewa mdogo mpaka haki yako ukiipewa unaiita zawadi tubadilike jaman ccm ni mfumo usitegemee mabadiliko yakaletwa na magufuli,tumesahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.