Recent content by CALM GAL

  1. C

    Dawati la msaada kwa HTC smartphones

    natumia HTC 6435 nataka android update yake aise!
  2. C

    Kwa watumiaji wa mfumo wa Marshmallow kwenye Android

    Binafsi naitamani sana hii 6.1.0 ila sina namna natumia HTC 6435 LRA droid msaada ba ndugu
  3. C

    TCRA, Kipindi cha Tega Nikutege cha TV1 hakifai

    haya nayo sio mazuri ila yanavutia kwelikweli!
  4. C

    TCRA, tujuze kwanini Azam TV haiwekwi kwenye ving'amuzi kama Local channel

    kuna mwenye no yao niwacheki (nimechoka na dhuluma nchi hii!
  5. C

    Mrejesho: Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    mi nadhani mungu ndo amekuonya kwa kukupa huyo house girl amekupa jambajamba kidogo tu na still hataki kuuona mkono wa mungu, endelea na uhakika hautaleta hata huo unaouita mrejesho hapa JF mungu ni mwaminifu na amuonyeshe madudu ndugu yetu ili we upate unachokitafuta kwa huyo jamaa yako
  6. C

    Mahusiano dini tofauti, kipi ni sahihi cha kufanya?

    Inatokea accidentially and once ur in inakuwaga ngumu sn kujinasua.... Ila haya yote yanapangwa na Mungu (automatically)
  7. C

    Mahusiano dini tofauti, kipi ni sahihi cha kufanya?

    I agree with 100 percent... Mim pia ni muhanga wa swala hili... Namuomba sana Mungu najau kila kitu anakipanga yeye...
  8. C

    Meseji niliyoikuta kwenye simu ya mke wangu

    unaweza ua, cha kufanya ukifika nyumbani we toka na simu yake kalale nayo kwa demu wako uliyekuwa unamtonoza kesho amkia kazini najua atakuja kujua kama uko hai, akifika mkabidhi simu yake mwabie aende jioni atakueleza kila alichokifanya siku zote na huyu mwizi wake then chukua hatua
  9. C

    Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    ENDELEA KUMHONGA HUYO HOUSEGIRL maana akiambiwa mumeo atamwamini na kumuoa huyu HG kuwa mke na ww kuachika au kuwa hausegirl (sheke well before use)
  10. C

    Kipi kinakupa amani kwamba unapendwa na uliyenaye?

    Wahoooooooo.... i love the way u apprciated it.....
  11. C

    Kipi kinakupa amani kwamba unapendwa na uliyenaye?

    uongo wao ndo kila kitu kwenye faraja yangu
  12. C

    Nakemea pepo la kuanza kutembea na mke wa mtu

    Ahaa hao hauingii garama sana zaidi ya kupata pa kumlaza tu, si ndio hawa wanopigiwa hata chooni maana akitoka kwa mumewe anahakikisha mpaka aonane na dudu ndo roho inarudi normal ila mwisho wake ni bora usingezaliwa hapa duniani
Back
Top Bottom