So sababu Gamondi hakuwa anafanya Sub basi na huyu kocha anaebebwa na ukubwa team anarundika tuu wachezaji uwanjani!? Kagera ukawaendee na mibeki mitano???? Uliiangalia game first half!?
Wakiwa wanapigwa miti huskia raha ama kero!? Ulitaka tusipige miti!? Ndo mana kwa huruma zenu baadhi yenu hamuoi ama mnawaoa kmj kmj mana miti inaumiza [emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.