Genta-delicious nakusoma.. naona kama kawa unajaza povu barazani. Nimependa makavu aliyokupa Facilitator. Una a very critical "Id ego" ikichangiwa na ufupi wako.
Wee jamaa unakuwaga na tatizo la kujiona mjuaji sana. Huo ni mtazamo wa Edo, ni mawazo yake tu.. ambayo sio lazima wewe uone au ufikirie kama yeye. Wewe unamuita mpuuzi. Unaboa sana wee jamaa
GENTAMYCINE nimefuatilia post zako nyingi sana. Nimegundua una tabia ya kulalamika sana na kujiona genius. Mambo mengine ni ya ku ignore tu ili maisha yawe smooth. Sio kila jambo likutoe mapovu tu. Life is easy brother..
Elekezeni nguvu zenu kwenye kutafuta suluhisho ya changamoto zenu wewe na mwenzio GENTAMYCINE . Mapovu mitandaoni hayawasaidii.. Mtu katoa mawazo yake.. mnamzodoa hapa.. kwani lazima wote tuwaze sawa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.