Recent content by caine

  1. caine

    Alichokiandika Mange Kimambi kuhusu risiti za malipo za Bilioni 2.4 zinazodaiwa kuwa za Abdul mtoto wa Samia

    Leo nimerudi kwenye video ya kuscan alio post mange kimambi. Haya ni mambo niliogundua. Website ilionyesha kwamba risiti ipo verified sio website ya tra inayotumika kufanya verification za risiti. Nimeambatanisha screenshot angalia hiyo website sio inayotumika kufanya verification ya risiti...
  2. caine

    Viongozi wa kiislamu wanaturudisha nyuma sana kwenye No reform No election

    Jamani waislamu sio lazima wawaunge mkono. Fanyeni mambo yenu sio lazima waislamu kwani nyie si mpo wengi? Shida nini?. Yaani muwadharau, muwatukane alafu leo mje kuomba sapoti yao. Fanyeni mambo yenu mkifanikiwa mkifeli hilo halituhusu waislamu.
  3. caine

    Alichokiandika Mange Kimambi kuhusu risiti za malipo za Bilioni 2.4 zinazodaiwa kuwa za Abdul mtoto wa Samia

    Hiyo risiti sio halali. Nimefanya verification kwa kutumia verification code hamna taarifa za hiyo risiti kwenye mifumo ya tra. Huyo abdul ni mfanya biashara hawezi kufanya malipo ya kiasi hicho bila ku utilize VAT yake kupitia TIN yake. Naongea kwa uzoefu mkubwa kabisa kama tax consultant...
  4. caine

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu naomba kuuliza hizi nafasi za Finance Management Officer kutoka kwa msajili wa hazina. Watu wanatakiwa kusoma issue gani au kuna group lolote. Maana kuna watu wanasema kutakua kuna usaili hadi wa practical.
  5. caine

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimefanikiwa kufika dodoma. Jamaa wamekataa kata kata kunibadilishia address ya barua inamaana wamenidisqualify kwenye hizo applications zangu zote nilizoomba. Nimejaribu kuongea nao sana hawanielewi. Hii haijakaa sawa wakuu. Unakosa vipi nafasi ya ushiriki wa interview kisa address wakati vyeti...
  6. caine

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Deadline tayari mkuu. Nataka nikapambane nione kama nitafanikiwa.
  7. caine

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi jumatatu nataka kuingia ofisini kwao. Maana simu hawapokei mkuu. Jumatatu nataka nikawasikilize.
  8. caine

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari za muda huu wakuu. Nimefanya application za NAOT kwa bahati mbaya address nimeweka ya NAOT badala ya PSRS kwenye barua. Kuna application zangu zingine za nyuma zilikataliwa kwa sababu hii nataka nibadilishe hii barua. Je nikifika ofisini kwao wanaweza kunisaidia hilo? Maana mfumo...
  9. caine

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Kingine nimegundua hauwezi ukawa tajiri pasipo kuwa smart kichwani. Jamaa yupo smart sana. Anapangilia hoja zake bila papara ila Tido kwa kiasi fulani ametuangusha.
  10. caine

    Upole wa watanzania si ujinga msipuuze Watanzania aisee

    Nyie wakristo tunawajua. Hakuna mnaloweza kuongea tukawaelewa. Mtawakamata waislamu mazuzu tu. Ila muislamu anaejielewa hawezi kuwaunga mkono. Hakuna chama kinachoweza kuleta umoja wa kitaifa zaidi ya CCM. Hayo mavyama yenu kutwa mnazunguka na maaskofu kama kuna muislamu anasapoti huyo ni...
  11. caine

    Askofu Dallu: Kiongozi Ukistaafu ondoka, usijifanye mshauri, Serikali ina mipango yake

    Wewe ni kafiri usijivike uislamu. Jenga hoja kwa nafasi yako sio lazima kujivika uislamu ili hoja yako iwe na mashiko.
  12. caine

    Mambo makuu niliyobaini katika hotuba ya polepole usiku wa kuamkia leo ni kama ifuatavyo

    Pambana na kagame kwanza. Wewe mkimbizi mambo ya Tanzania na CCM yanakuhusu nini? Au ndio umekaribishwa sebuleni unataka kuingia hadi chumbani.
  13. caine

    Wazo: Inatubidi kuung’oa mzizi wa CCM ili kuikomboa Tanganyika

    CCM ikitoka madarakani vita baina ya wakristo na waislamu haiepukiki. Vyama vyenu ambavyo ni mali ya kanisa haviwezi kusimamia amani na mshikamano wa hii nchi. Narudia tena vyama vyenu vya siasa vilivyo chini ya kanisa haviwezi kusimamia umoja wa kitaifa kama ilivyo CCM.
  14. caine

    Mtanzania, Subiro Mwapinga akabiliwa na Mashtaka Marekani kwa Mipango ya kusambaza Silaha za Kijeshi kwa genge la biashara ya Dawa za Kulevya

    Yes hizi kazi za kiumeni. Msione watu wana drive Michuma mikali mjini mkajua ni kazi nyepesi
Back
Top Bottom