Leo nimerudi kwenye video ya kuscan alio post mange kimambi. Haya ni mambo niliogundua.
Website ilionyesha kwamba risiti ipo verified sio website ya tra inayotumika kufanya verification za risiti.
Nimeambatanisha screenshot angalia hiyo website sio inayotumika kufanya verification ya risiti...
Hiyo risiti sio halali. Nimefanya verification kwa kutumia verification code hamna taarifa za hiyo risiti kwenye mifumo ya tra. Huyo abdul ni mfanya biashara hawezi kufanya malipo ya kiasi hicho bila ku utilize VAT yake kupitia TIN yake. Naongea kwa uzoefu mkubwa kabisa kama tax consultant...
Wakuu naomba kuuliza hizi nafasi za Finance Management Officer kutoka kwa msajili wa hazina. Watu wanatakiwa kusoma issue gani au kuna group lolote. Maana kuna watu wanasema kutakua kuna usaili hadi wa practical.
Nimefanikiwa kufika dodoma. Jamaa wamekataa kata kata kunibadilishia address ya barua inamaana wamenidisqualify kwenye hizo applications zangu zote nilizoomba. Nimejaribu kuongea nao sana hawanielewi. Hii haijakaa sawa wakuu. Unakosa vipi nafasi ya ushiriki wa interview kisa address wakati vyeti...
Habari za muda huu wakuu. Nimefanya application za NAOT kwa bahati mbaya address nimeweka ya NAOT badala ya PSRS kwenye barua. Kuna application zangu zingine za nyuma zilikataliwa kwa sababu hii nataka nibadilishe hii barua. Je nikifika ofisini kwao wanaweza kunisaidia hilo?
Maana mfumo...
Kingine nimegundua hauwezi ukawa tajiri pasipo kuwa smart kichwani. Jamaa yupo smart sana. Anapangilia hoja zake bila papara ila Tido kwa kiasi fulani ametuangusha.
Nyie wakristo tunawajua. Hakuna mnaloweza kuongea tukawaelewa. Mtawakamata waislamu mazuzu tu. Ila muislamu anaejielewa hawezi kuwaunga mkono.
Hakuna chama kinachoweza kuleta umoja wa kitaifa zaidi ya CCM. Hayo mavyama yenu kutwa mnazunguka na maaskofu kama kuna muislamu anasapoti huyo ni...
CCM ikitoka madarakani vita baina ya wakristo na waislamu haiepukiki. Vyama vyenu ambavyo ni mali ya kanisa haviwezi kusimamia amani na mshikamano wa hii nchi. Narudia tena vyama vyenu vya siasa vilivyo chini ya kanisa haviwezi kusimamia umoja wa kitaifa kama ilivyo CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.