Mungu mbariki Lowasa Mungu mpe nguvu na uzima walio sema mgonjwa sijui wana jisikiaje sasa kwani mgonjwa ana fanya mikutano wilaya 6 kwa siku jamani aibu zao . Wana jf wote bila kijali imani zetu tumwombee Lowasa nguvu . Afya tele na tumtamkie maneno ya ushindi . Tusisahau kupiga kura pia kura...
Lowasa Lowasa Lowasa jamani tukubali huyu baba anapendwa . Nimejaribu kufanya uchunguzi mdogo kwa watu pamoja na kufuatilia clip mbalimbalu na maoni pia. Hata kama ana mapungufu lakini kama ule msemo wa nyota kung'aa basi huyu baba imetulia na kama ule msemo wa damu ya kupendwa basi Lowasa...
Asante sana mleta uzi sifa hizi hazipingiki. Kikubwa tijitahidi kupiga kura jamani na watu wetu wa karibu tuwahamasishe tusiishie hapa jukwaani. Mabadiliko ni lazima ccm sasa basi ipumzike hakuna sababu ya kuendelea kuongwazwa na chama kisicho jali wapiga kura wake. CCM walifika mahali pa...
nyumba inapangishwa arusha eneo kibanda maziwa. Nyumba ina chumba kimoja cha kulala sebule na choo ndani ziko 3 kwenye compound moja. Ziko karibu na barabara kuu ya nairobi. Ina geti maji na umeme ni mpya. Kwa mawasiliano zaidi pm au piga no 0754 274463.
Passion ni nzuri na zina zaa sana especially but polution yake nadhani sio nzuri sana kama una matunda mengine like maembe ile pollution ya passion inaweza kuwa na madhara maembe yasizae. Mimi ziliharibu maembe yangu yakaacha kuzaa nilipokata maembe yakatoa matunda. Wajuzi watujuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.