1. Uwajibikaji Kupitia Ulimwengu wa akili Bandia (AI)
Tanzania inaingia katika wakati wa kusisimua ambapo teknolojia za kidijiti, kama vile Ulimwengu wa akili Bandia (AI), zinaweza kuleta mapinduzi katika nyanja za uwajibikaji na utawala bora. Teknolojia hii inaweza kuboresha uwazi katika...
Ajarbu tu ku reapply atapata nafasi nying zimejazwa na waliopata multiple ko waki confirm chance zitabaki na mostly kaekwa akiba et ko wata Mconsider mungu atamsaidia atimizie ndoto yake! Me piah na one yangu ya 6 hapa kuna course sjachaguliwa!
Kuna dogo nlimuombea chuo ngazi ya cheti saut muda Sana toka mwezi wa nane nahis na still majibu awaweki kwenye account hapa utaratbu unakuwaje kujua kachaguliwa au lah?
Kwa anayeelewa juu ya Jambo Hili inakuajeh kuna effect zozote kwa muombaji maake ukiandika namba ya shule inaleta jina but ukiprint form inakuja sehemu ya advance pameandikwa school name not found
Samahan wakuu kwa anayeelewa naomba kuuliza ile form ilyotolewa na HESLB ni format ya jinsi ya kuandika ile barua au inakuaje? Naomba anayeelewa anipe maelekezo kidogo [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.