Barua ya udhamini bodi ya mikopo

caiden mills

Member
Jul 13, 2019
49
19
Samahan wakuu kwa anayeelewa naomba kuuliza ile form ilyotolewa na HESLB ni format ya jinsi ya kuandika ile barua au inakuaje? Naomba anayeelewa anipe maelekezo kidogo
 
Mkuu, me mwenyewe Nina mchakato wa kujaza hyo form.. Ila changamoto niliyoiona ni kutokuwepo na sehemu za kujaza baadhi ya taarifa fulani. Kumbuka hizi form wamezitoa in form of PDF.

Nilijaribu kuwatafuta heslb wasap wakanambia nipige simu.. Nikipige simu inakuwa nadra kupokea, hvyo ndugu naomba ujaribu nawe kuwapigie ukifanikiwa kuwapata waulize kuhusu hili then tujue ufafanuzi wake
 
Samahan wakuu kwa anayeelewa naomba kuuliza ile form ilyotolewa na HESLB ni format ya jinsi ya kuandika ile barua au inakuaje? Naomba anayeelewa anipe maelekezo kidogo
Sasa hv sio kama zamani huandiki barua unaijaza ile fomu unaambatanisha na hvo vitu sjui risiti za malipo ya ada nk
 
Fomu complicate Sana Ukijichanganya umeumia nimewapigia simu nikawaambia Kama hakuna hizo risiti wananijibu unafadhiliwaje bila ya kufanya malipo tafuta risiti na documents coz Ni MUST BE ATTACHED

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu samahani..Mimi nimefanya mtihani kama private candidate pale arusha school center.. Sasa kwenye kujaza form ya mkopo kwenye kuweka namba ya mtihani shule haionekani.."school name not found" ila chini yake pana namba halisi ya shule..itaniathiri?
 
Fomu complicate Sana Ukijichanganya umeumia nimewapigia simu nikawaambia Kama hakuna hizo risiti wananijibu unafadhiliwaje bila ya kufanya malipo tafuta risiti na documents coz Ni MUST BE ATTACHED

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kuna vipengele Fulani kama kutaja sababu za ufadhiri na vitu vingine hawajaacha nafasi za kujaza pale ujazaje..?
Au umebananisha hvyohvyo..?
 
Fomu complicate Sana Ukijichanganya umeumia nimewapigia simu nikawaambia Kama hakuna hizo risiti wananijibu unafadhiliwaje bila ya kufanya malipo tafuta risiti na documents coz Ni MUST BE ATTACHED

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama mtu amefadhiliwa na shule, mfano Feza? Maana wewe kazi yako kusoma tu mambo ya malipo hujui yanavyoenda.
 
msaada hapa naenda wapi ili pajazwe??
Capture.PNG
 
Wakuu samahani..Mimi nimefanya mtihani kama private candidate pale arusha school center.. Sasa kwenye kujaza form ya mkopo kwenye kuweka namba ya mtihani shule haionekani.."school name not found" ila chini yake pana namba halisi ya shule..itaniathiri?
No ni kawaida haina madhara
 
Back
Top Bottom