Habari za asubuhi wanamjengo, hapa wala sitakuwa na maneno mengi twende moja kwa moja kwenye mada hapo juu .
Nina shida na hospital ambayo ina huduma nzuri za madaktari bingwa wa wanawake zilizopo dsm bila kujali ni hospital binafsi au za umma.
Mwenye uzoefu na hili anijuze asante.
Unaacha pombe unahamia kwenye majani ya chai na kahawa, kiafya hapo bora ungeendelea na pombe tuu unajiweka kwenye risk ya kupata magonjwa ya moyo na kisukari
Nimekuwa nikishiriki league za Twitter kwa misimu kadhaa leo nimesema ngoja nisearch humu huenda kuna wadau,
Mwaka huu tutakula sahani moja humu, nitawanyoosha kisawa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.