Ninayo Ac aina ya Samsung 24btu. toka nimenunua sijaitumia sana kutokana na ukubwa wake na mimi sebule yangu ni ndogo sana. Ningependa kubadilisha nipate angalau 12btu. Kama kuna mtu anahitaji A/c kubwa anaweza akanipatia hiyo ndogo tufanya kubadilishana. Nilinunua bila kupata elimu ya kutosha.
Tuna kazi sana watanzania kusonga mbele yaani pamoja na jitihada anazozionyesha bungeni za kuwatetea wananchi wote bila kujali wa jambo gani, halafu mjinga mmoja anataka aende mazese aje afanye nini au mlitegemea mkimchagua atakuwa anawagawia hela? Jinga sana ccm wamewazoesha vibaya sana nyie...
Tatizo jamaa zetu hawaaminiki akitokea mjanja awaambie kuwa wanaopinga katiba pendekezwa ni wakristo basi wote wataamini, watu hawana msimamo ukiwatajia dini tu umewawini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.