Recent content by Caeser

  1. C

    JamiiForums Tanzania Sodoma ipo hapa Dar, usiku huu nimeshuhudia mengi

    Mkuu bila ka video thread hainogi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Duh uzi tayari apo??
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

    Mbona huyu kama ni wewe mwenyewe?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    Wanalipwa kwa wakati??
  5. C

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

    Umechambua vizuri sana Kwa mtu anaeanza maisha , itamsaidia sana.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Serikali ipitie upya Sheria ya 'Mikopo ya Mtandaoni (Online)'

    Wanazingua sana,kuna Kampuni Moja hiyo nilipata Dharura nikakopa Elfu 51, afu nikapewa 30 ndani wiki Moja , faida ya Elfu 21 kwa wiki , riba ni zaidi ya 48%. Kabla ya siku Moja kufika nikalipa hela yao, ila kwenye app yao deni halikutoka likawa linaongezeka, aisee jamaa wanapiga simu na meseji...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tuache unafiki kiwango cha Simba kiko chini mno

    Uko sahihi, nadhan hata Kocha wetu Bado hajapata pattern nzuri , sjui kwann anakosa Iman kwa wachezaji wengine kama Chasambi, Miqusson ,af kila Mechi naendelea kuwa na Iman na Saido hata kama Mchango wake umepungua.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

    Ushauri Mzuri sana , hata mm nishajaribu zaidi ya mara mbili
  9. C

    JamiiForums Tanzania Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

    Issue kubwa ni hiyo IELETS
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Haha dah umenikumbusha mbali sana , kuna watu walikuwa na mikwara balaa ila baada ya muda mnakuwa sawa
  11. C

    JamiiForums Tanzania Nimekuta taulo ya hedhi ya mke wangu iliyotumika imehifadhiwa kabatini, ina maana gani

    Hahah kwa kweli , nishatia kibirit mbili sasa.
Back
Top Bottom