Recent content by cacocaca

  1. cacocaca

    Hivi kwanini watanzania wanapenda kushangaa shangaa?

    Duh juzi kati nilipita barabara moja mwz nikapishana na greda linatengeneza barabara ya mtaa kwa mbele nikakuta umati mkubwa wa watu nikasimama kuuliza kulikoni naambiwa greda limetoboa bomba la maji sasa nikauliza nyie ni mafundi bomba hapana tunaangalia tu maji yanavyomwagika,
  2. cacocaca

    Mfumo wa Kieletroniki wa maegesho ya magari wa TARURA (e-parking)

    Plan ni nzuri ila mfumo wa utekelezaji ni mbovu sana nimekuwa mhanga sana hapo nyamagana kwa yafuatayo 1. Unapark gari kwa dakika 10 au 15 bado gharama ni ile ile ya sh 1500/= 2. Ukishaangalia *152# ukiingiza namba za gari kuona kama unadaiwa,utafuatiwa na message za kudaiwa kila baada ya dk2...
  3. cacocaca

    Msaada tafadhali Mbeya City

    Mwezi uliopita mie nililala pale huduma ni nzuri tu vyumba vipo kuanzia 20,000/= na kuendelea
  4. cacocaca

    Kadri siku zinavyoenda Azam Tv inazidi kukosa Vipindi vya kutufaa sisi Wengine

    Tumeshajua makochi na tv zake ngoja tusubirie aje na uzi mwingine aina ya nyumba mke na gari.
  5. cacocaca

    Rais Magufuli umekuwa Mahakama? Eti watuhumiwa wapelekwe Mahakama za kijeshi kisha za kiraia

    Kuna watu wanakosoa hata visivyokosolewa kwa mihemko isiyokuwa na maana rais hajawahukumu ila amesema wapelekwe mahakamani ili mahakama ndiyo itatoa hukumu huyo jamaa sijui alitaka wapelekwe wapi labda nyumbani kwake,kanisani au msikitini,kama mtu hana hoja [emoji850] Sent using Jamii Forums...
  6. cacocaca

    Wapinzani hawataki Bombardier zifanyiwe ukarabati

    Hao jamaa ni sizitaki mbichi hizi kumbe anazitaka maana ndiyo usafiri wao Sent using Jamii Forums mobile app
  7. cacocaca

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    Well said watu wanacomment pumba bila kujua chanzo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. cacocaca

    Volkswagen yaweka sokoni magari yaliyotengenezwa nchini Rwanda kwa mara ya kwanza

    Uko sawa mno ndugu watanzania wengi wana kasumba kubwa sana ya kudharau vya ndani na kusifia vya nje bila kujua vimepatikana kwa efort gani kwenye hizo nchi,kama ulivyotangulia kusema kuna watu huko nje wanatamani haya maisha yetu ambayo baadhi ya wenzetu wanayadharau, my take tuweni na uzalendo...
  9. cacocaca

    Polisi aliyemkodi mwenzake ili amtie mimba mkewe, amfikisha mahakamani kwa kushindwa kumtia mkewe mimba

    Duh hatari sana jeshi la kukodi halina silaha kumbe nalo lilisaidiwa vita ya nyumbani
  10. cacocaca

    Wakati Acacia ikifungasha virago, tukumbushane mambo ya kijinga tuliyokuwa tunafanya mgodini

    Mdogo wangu unenikumbusha mbali sana miaka hiyo idrissa kafupi anatugawia viroba pale dirishani,miner anakwenda refugee chamber kuiba maji na bandage,umeme ukikatika,upepo hakuna au maji yamekatika tunakwenda shaft kulala. Safi sana labda nikupe ndondoo chache kabla ya akina mbise mwanzilishi wa...
  11. cacocaca

    MWANZA: Watoto wanne wateketea kwa moto

    Chanzo kimeonekana ni mshumaa kushika chandarua then godoro uchunguzi mwingine upi tena. Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema watoto amen
  12. cacocaca

    Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

    Wabadilike bwana maana dunia ya sasa ni kijiji kwa hivyo wanawaona wenzao wa mataifa mengine vitu wanavyofanya ni tofauti sana na wasanii wetu
  13. cacocaca

    Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

    Bora kucheka kuliko kudanganywa live
  14. cacocaca

    Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

    Zipo nyingi tu ni heri uangalie hata comedy za king majuto
  15. cacocaca

    Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

    Pole sana ila wanatudanganya sana eti jini akishindwa mbio anakodi bodaboda
Back
Top Bottom