Ni kweli, kwa miaka miwili baada ya kumaliza kilikuwa kinanikwamisha ni ada. Sikuwa nimemaliza, sasa nilipomaliza ndo nikaanza kufuatilia ndo nikakutana na majibu yale. 2020 niligombea sehem moja hivi udiwani, kwenye fomu elimu yangu nikaweka nina diploma, sasa kwenye mahojiano nilitaka niende...
Habari Wana jamii,
Upande wa Sheria! Nilimaliza masomo yangu ngazi ya stashahada kwenye chuo kimoja wapo cha serikali hapa jijini dsm mwaka 2016. Tatizo likaja sikuwa nimemaliza ada tena hela nyingi tu na hata nilipotoka field nakuandaa ile field report tukazikusanya kwa msimamizi wetu wa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.