Nabi chezesha 4-3-3
Beki: Djuma, Dickson, Mwamnyeto, Lomalisa
Kiungo: Bangala, Aucho, Feitoto
Mbele: Falid, Mayele, Kisinda
Benchi: Morrison, Aziz Ki, Moloko, Sure Boy, Kibwana,
Waliopo benchi wanaweza kuingia na kubadilisha mchezo badala ya kufanya makosa ya mechi ya kwanza ya kuingiza...
Mleta mada uelewa wako wa mambo uko chini sana. Nenda kasome kuna kitu kinaitwa “Mid Year Review” au “Budget Reallocation” vitakusaidia kuelewa. Hivyo vitu unaweza kujisomea kwenye internet au tafuta Sheria ya Bajeti. Hayo mambo Serikali inafanya kila mwaka kama kuna uhitaji wa kuhamisha Bajeti...
5. Pia CCM 2025 mgombea anabadirika, hivyo atakuja na sera zake including hizo za upinzani. Kama utakumbuka sera ya ufisadi Magufuli ameitekeleza ambapo wapinzani hawana huo wimbo tena.
Huwezi kumfananisha Mzee Lowasa na huyu Lisu. Mbowe aliona mbali 2015, Lowasa alikuwa na mvuto kwa wananchi wa aina zote. Bila Lowasa na UKAWA 2015 CDM mngepigwa vibaya sana. Ule upepo wake uliongeza viti vya ubunge hasa mikoa ya Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Dar es Salam. Mwaka huu sioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.