hi ni kweli tupuHuyu jamaa alipokuja watu wengi walibeza sana. Kwa kiwango alichonacho kwa sasa anastahili kuwa mchezaji bora wa mwezi wa NBC.
View attachment 2547989
Mwanaume unaitwaje JOYCEMbu mbu mbu FC ......walimkebehi sana huyu mwamba
Chaajabu manzoki wao alikuja kwny campaign
Tembea mkuu usijifungie nchiniMwanaume unaitwaje JOYCE
TawileNashukuru day one nilipoona akigusa mpira nikasema huyu ni player from there hadi Leo halafu anacheza kana kwamba hata ukitaka dk 500 twende TU touches dribble insight zote ziko perfect kwa Mutambala yanga tunaenjoy
Halafu Kuna musonda huyu ni suala la muda ila ataimbwa sana kwenye media za tz
Dickson Job kama sio raia wa Tanzania basi apewe uraia wa Yanga Moja kwa Moja jamaa ni hazina kamili na ndie atanyanyua kombe la caf confederation
Mamelody tutacheza nao kwenye super cup Yanga for life
Umejifungia huko kwenu Magu utaelewa nini?Mwanaume unaitwaje JOYCE
Unadhani una akili?Mwanaume unaitwaje JOYCE
ndyo anaitwa Da Joy.Anaitwa Joyce?