N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,826
- 9,533
Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI