Recent content by C.T.U

  1. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa FINE MODERN HOMES ni kweli au ni Utapeli? (Uzoefu na Uhalisia wa Off-Plan Yao

    Sahihi ndio maana nataka kuona kama kuna watu wowote wamefanya kazi na kampuni hii watupe veiw zao pia kwa upande wao
  2. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa FINE MODERN HOMES ni kweli au ni Utapeli? (Uzoefu na Uhalisia wa Off-Plan Yao

    Hii kubwa sana hii shukrani sana
  3. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa FINE MODERN HOMES ni kweli au ni Utapeli? (Uzoefu na Uhalisia wa Off-Plan Yao

    Mjini wengi wanajenga kwa mikopo ndio maana kuna Morgage finances, so na hawa ni construction company wamekuja na some sort of financing so kufanya due dilligence ni nzuri mkuu
  4. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa FINE MODERN HOMES ni kweli au ni Utapeli? (Uzoefu na Uhalisia wa Off-Plan Yao

    Habari za muda huu wakuu, Naomba kuwasilisha mada hii kwenu ili kupata uzoefu au taarifa za kina kama kuna mtu yeyote humu ndani alishawahi kufanya kazi na kampuni inayoitwa Fine Modern Homes. Wana mpango wao wanaoutangaza sana unaosema unalipia 40% ya gharama ya nyumba, kisha wanakujengea, na...
  5. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Somalia na wasomali

    Utelezi huko vipi? Unapatikana ?
  6. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

    Ukiwa unapiga anapiga kelele au anakuwa kimya jibu kwanza kisha tujadili
  7. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Kuna anayejua sababu ya kutenguliwa kwa hawa viongozi? Karibu utujuze

    Niko kiti cha mbele
  8. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Kendrick Lamar (Kidoti) Alijichanganya Kumdiss J Cole. 7 minutes Drill Bodied Kendrick

    Forest Hill nadhani sasa umeona nguvu ya KDOT ukilinganisha na hao wasanii wenu
  9. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

    Wenye vyeo vya mabegani huwa hawana shida shida inaaza kwa ma private na wenye vyeo vya mikononi tatizo sana
  10. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business?

    Umewasahau Dianarose, Lema wa kibaha
  11. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwako Kijana wangu Paul Makonda

    Out of topic, naomba kuelimishwa Hivi ni sahihi kwa Makonda kwa nafasi yake kumuita OCD na kumpa maelekezo ?
  12. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

    Sema nilichogundua humu wanaotetea hii ishu ni wajeda sema wale wajeda ambao vyeo viko kwenye mikono wale na ma private wenye vyeo kuanzia mabegani wamenyuti tu [emoji3]
  13. C.T.U

    JamiiForums Tanzania Wahuni Jeshini Wadhibitiwe haraka, Wanajeshi wafundishwe nidhamu ya kuishi na raia

    Hii story ina mambo mengi sana nyuma ya pazia Inaweza kuwa exaggerated sana Kama ni kweli nashauri viongozi wakuu wa jeshi wakae na wananchi kawe kwa ajili ya ku solve hii ishu
Back
Top Bottom