Recent content by Bzimana

  1. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Madai ya mkurugenzi mkuu wa TRC kuhusu watu kuhujumu treni ya SGR yanahitaji kushughulikiwa haraka

    Huna akili wewe!! Nyaya zinakatwa!! Wewe unajamba mzigo feki!!
  2. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Wakili wa Clinton Nyundo na wenzake hajaridhishwa na hukumu

    Chiz.i wewe...!, angefanyiwa mwanao vile ungesema huo utumbo hapa...
  3. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Dharau gani uliwahi kuonyeshwa ugenini?

    Wapi Bulwa au kwamkoro!!? Huyo mama mtata ni kama vile namjua..
  4. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Waziri wa Elimu ya kwamba walimu wafanye mtihani kabla ya ajira ni ya udhalilishaji

    Kama engineers wanafanya..! Pamoja na kada zingine, kwanini nyie mnahofu? Je! Ni uwezo mdogo?
  5. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    Akili zako ni ndogo, pia utasema kwanini hao watuhumiwa waziri asiwahoji yeye.🙄🙄🙄
  6. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi Mashuleni

    Kweli kabiisa, naunga hoja
  7. Bzimana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

    Baba wa mtoto hakuwa wa ndoto yake, kwanini alimpatia?
  8. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wenzangu kuweni makini kulinda salary slip yako isichafuke lasivyo utakiona Cha moto kama mimi

    Pole, ulitumia akili ndogo sana wakati unaenda kukopa
  9. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

    Wamevuna walichopanda
  10. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Rais Samia jenga barabara ya njia nane Dar to Mwanza, Morogoro to Mbeya, Dar to Arusha

    Unaonaje ugombee hio nafasi ili uje utujengee hizo njia nane...!!!!! Wewe kama mwenyekiti/Rais wa familia yako, umetekeleza njia nane kwenye familia yako
  11. Bzimana

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Wazazi wa wanafunzi Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA, tumechoka na Michango, Rushwa, Utumikishwaji wa watoto wetu shuleni

    Mtoa mada, una elimu gani na umri gani? Wasilisha changamoto zako kwa Afisa Elimu Kata, akishindwa uende kwa Afisa Elimu Wilaya, akishindwa muone mkuu wa wilaya au DED. ILA KWA CHANGAMOTO HIO, HATA UKIMUONA MWENYEKITI WA KIJIJI anaweza kuwasaidia.
  12. Bzimana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Hamkuwa mnaenda kusoma, ila kupiga chabo
  13. Bzimana

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Dereva Bodaboda tulionunua ardhi Boko Mnemela tumetapeliwa, tunaomba msaada wa Serikali Kuu

    10,000,000/50= 200,000 Kila mmoja ametapiliwa laki mbili
  14. Bzimana

    JamiiForums Tanzania Idara ya Elimu Msingi wilaya ya Kwimba huu ni Uhuni na Udhalilishaji wa Walimu

    Wewe ni Mwalimu usie na akili. Sijui unafundisha nini watoto wetu huna uadilifu na uvumilivu. Hivyo hata watoto wetu unawafundisha tabia za ukosefu wa uadilifu na uvumilivu
Back
Top Bottom