Kama taifa ili tuepuke hizi gharama za marais wastaafu wa pewe lump sum money ya kutosha kama malipo yao ya kusitaafu na baada ya hapo wawe raia kama wananchi wengine wanaopata pension za kila mwezi. SWALI KWA MTOA hoja Taifa mpaka sasa kwa marais wasitaafu kwa mwaka lina toaa kiasi gani? tupe...
Hoja hii inagusa wanaume na wanawake wote wenye vitambi utaratibu uandaliwe wa kisheria ili hivyo vitambi vyaoo wavilipiee kodi na hili litasaidia kuleta afya bora na itafanya sehemu za mazoezi zote kuwa endelevu nchini
Wazo: Tupanue wigo wa mapato ya serikali (tax) kila mwenye kitambi utaratibu wa kisheri akilipiee kodi hii itapelekea wananchi wengi kuwa na afya njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.