Kiukweli nipo kama wewe, but let us trust in time sphere, inaleta msongo wa mawazo lakini hacha tu watangulie tutafika kila kitu huwa najiambia kipo originated na muda men.
,
Hya
Hayanaga formula bhana tajiri wa mwanza pamoja na kuwa na Kila kitu mkewe akienda kuangalia real Madrid mwisho ni fired. So hamna formula ya mapenz
Hapo lazima DPP atupe taulo imani yangu ni kwamba kikao ni kizito sana usiku wa leo namna ya kukwepa kuingia kwenye mtego wa Lissu. So namna pekee ni DPP kufuata kesi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.