Recent content by Byakatonda

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Kiukweli nimebahatika kutembelea majiji yote ya nchi hii na mengine nimekaa ila Mbeya dah! ni hujuma tupu kwanza haina chaneli za barabara za mitaa za uhakika. barabara mfano ya kwenda chunya ni mashimo tupu kuanzia isanga mpaka mwansenkwa ni hatari kama sio dereva mzuri jiandae kufa. Maji...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta, nimjibu nini huyu?

    Subiri kwanza mbona una haraka sana?. Wewe ni mwanamke au mwanaume?.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Hii nilikuwa siijui Leo pastor church kaiweka sawa kuwa shela ni kwa ajili ya bikra kibiblia kama huna bikra kuvaa utakiwi et.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Kivuli: Tafakari ya Kifalsafa Juu ya Siasa za Kijiopolitiki na Hatari ya Kupotea kwa Utu

    Sahihi sikupingi, lakini je unahisi tatizo ni wananchi wenyewe kufuata mfumo huo au ni mambo ya kimfumo wetu wa kiutawala toka ulipoasisiwa na mwalimu unatulazimu tuishi hivyo?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Kivuli: Tafakari ya Kifalsafa Juu ya Siasa za Kijiopolitiki na Hatari ya Kupotea kwa Utu

    Yaaa katokea hapo, nakumbuka nadharia Moja alitufundisha ya bandwagon. That if you can't fight them join them. Japo ni katika mkutadha wa international relations. Lakin angeliitumia hata huku ndani Ili awe huru tu lecturer wetu. Make siasa ya nchi hii na walichotufundisha ni vitu viwili tofauti.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Kivuli: Tafakari ya Kifalsafa Juu ya Siasa za Kijiopolitiki na Hatari ya Kupotea kwa Utu

    "The means justify the end". Kant dah, umepiga philosophy na political science at the same time. Umenikumbusha mwalimu wangu wa philosophy na mwalimu wangu wa political science yupo gerezani ni gaidi dah!. Dunia Ina Kasi ya ajabu sana.
  7. B

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Ni mtazamo wa kiakili tu lakini hauna uhalisia
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amewazoesha vibaya sana huu msemo huu wa kijinga CHADEMA na imewakaa kichwani

    Uwezo wako mdogo sana kung'amua mambo. Anyway hicho unachokiona na kukisema ndo practical ya nilichosoma kinatharia. Kipo kwenye vitendo.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amewazoesha vibaya sana huu msemo huu wa kijinga CHADEMA na imewakaa kichwani

    Tuliosoma sayansi za siasa mwaka wa kwanza tunaungana na Heche kusema Kuna kitu kwenye political science kinaitwa issues framing. Hiki ni kitu Chochote kinachotumika sana na watawala kwenye ulimwengu wa siasa kupumbaza watu wajinga kama mtoa hoja hapo juu.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Kila mtu ana baraka zake. Oa bana usisikilize wahuni wa jf utazeeka bure.
  11. B

    JamiiForums Tanzania KERO NIDA Muleba wanatusumbua Watumishi wa Umma kufanya maboresho, wengi wao hawana Customer care nzuri

    Bora hapo kuna lidada limoja jeusi lilikuwa pale RITA nikiwa nimemaliza form six 2020 Tanga ikabidi nirudi home bana MULEBA kutafuta cheti Cha kuzaliwa Ili nikaombe mkopo alafu nipo siku za mwisho. Cheti Cha kupata siku Moja yule mdada alinigonga wiki nzima na Hela nimetoa alinikera sana...
  12. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Wameumia Sana Mioyo yao Kuona TEC Wameonana na kufanya Mazungumzo na Rais Samia. Wababubujikwa Machozi ya Huzuni

    Lukasi ni wakumpuhuza hakuna analojua
  13. B

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Hapo atakuja Mwashamba na tilaaatiaaa wampinge🤣🤣 hii ccm yetu imezalisha watu wengi makni lakini imezalisha na viazi mbatata
  14. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Wameumia Sana Mioyo yao Kuona TEC Wameonana na kufanya Mazungumzo na Rais Samia. Wababubujikwa Machozi ya Huzuni

    Hii ndo Mutahaba alituambia ogopa Mungu na teknolojia.
Back
Top Bottom