Recent content by Byakatonda

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Lissu aliyasema bungeni mkamuita kibaraka. Tena akakazia kuwa raisi anachofanya ni kuzuia mapunk minofu inakwenda. God bless Lissu.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, CCM ni Chama Cha Watu Wenye Akili Ndogo Lakini Wenye Mioyo ya Uovu. Mwenye Akili na Mtu Mwema Unawezaje Kuwa CCM?

    Sasa wewe unaona watu kama Mwashamba sijui, Tlaatlaah kina variable nk wana akili timamu kweli?.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Huyo October 29 wangelimpa bunduki angeliua ndugu zetu kabisa 😃
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Si ukawaulize polisi. Kwani wewe uliwai kuona au kiliwai kukuteka?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Nguvu za kiroho ni kwa ajili ya kiroho na mambo ya imani. Ngono ni kwa ajili ya mwili so Kila kitu kinafanya kazi yake. Ndo maana usiku mchungaji anatoka kumpiga 🐕 style mke wake. Asubuhi anakuwekea mikono na mapepo yanalipuka. So kungelikuwa na uhalisia wa iko usemacho wachungaji wangelikuwa...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Mtu akiwaona ndani ya suti anaweza fikiri mna akili kumbe hamna kitu. Kwahiyo serikali ikubali ichafuliwe na kundi la hao unaowasema ndani na nje ya nchi alafu vyombo vya usalama vipo?. Sasa kama vyombo vya ulinzi na usalama vipo na vinashindwa kufanya kazi ya kupambana na hicho kikundi Cha...
  7. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Huyu vyeti vyake alipewa tu uenda ndo wale vyeti feki. Mtu aliyesoma shule zote mpaka ukaenda chuo kikuu. Hawezi ibuka na kusema kwa watu eti maisha ni muhimu kuliko siasa na ukajivunia mshaara na passport. Elimu yetu pamoja na madhaifu yake haikutufunza hivi.
  8. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Kumbe tunaangaika na shahidi wa yehova!😃😃 Hawanaga ufahamu hawa tuachane naye.
  9. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Huna akili wewe, siasa ni zaidi ya hayo maisha unayosema. Maana maisha ukoma ila siasa uishi milele yote.
  10. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chanzo cha Malalamiko na Muktadha wa Maandamano ya Oktoba 29

    Hiyo ni kukabidhi tu Madarka, nchi tukiwa kwenye uchaguzi haina raisi iko chini ya vyombo vya ulinzi na usalama.
  11. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chanzo cha Malalamiko na Muktadha wa Maandamano ya Oktoba 29

    We nae sijui wawapi?. Sasa mapinduzi siku ya uchaguzi wampindue nani wakati nchi Ipo chini ya jeshi haina raisi?.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa tuache unguchiro

    Nenda Kenya hapo jirani yenu kila siku nchi inasonga kwa kejeli, matusi tena kutoka kwa viongozi na waliowai kuwa viongozi lakini halizuii nchi yao kwenda mbele. Kwenye ulimwengu wa siasa kejeli, matusi nk ni kitu Cha kawaida sana usipandisne acidi bure. Samia aliwahi sema huyu Simba kwenye...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa tuache unguchiro

    Sema nchi hii Nyerere na Mwinyi walikurupukia mfumo wa vyama vingi tu watanzania walikuwa hawajawa tayari kuvipokea. Sasa kama wewe ulichoonesha hapa ni ujinga mtupu. Sababu bado uelewi maana ya chama Cha upinzani ni nini. Unataka kije kikusifie tu kisa unatawala huo sio upinzani huo ni...
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya wanawake kutotunza jagina zao vizuri na athari yake

    Kuna UGONJWA unaitwa uvccm kumbe?🤣
Back
Top Bottom