Kiukweli nimebahatika kutembelea majiji yote ya nchi hii na mengine nimekaa ila Mbeya dah! ni hujuma tupu kwanza haina chaneli za barabara za mitaa za uhakika. barabara mfano ya kwenda chunya ni mashimo tupu kuanzia isanga mpaka mwansenkwa ni hatari kama sio dereva mzuri jiandae kufa. Maji...
Sahihi sikupingi, lakini je unahisi tatizo ni wananchi wenyewe kufuata mfumo huo au ni mambo ya kimfumo wetu wa kiutawala toka ulipoasisiwa na mwalimu unatulazimu tuishi hivyo?
Yaaa katokea hapo, nakumbuka nadharia Moja alitufundisha ya bandwagon. That if you can't fight them join them. Japo ni katika mkutadha wa international relations. Lakin angeliitumia hata huku ndani Ili awe huru tu lecturer wetu. Make siasa ya nchi hii na walichotufundisha ni vitu viwili tofauti.
"The means justify the end". Kant dah, umepiga philosophy na political science at the same time. Umenikumbusha mwalimu wangu wa philosophy na mwalimu wangu wa political science yupo gerezani ni gaidi dah!. Dunia Ina Kasi ya ajabu sana.
Tuliosoma sayansi za siasa mwaka wa kwanza tunaungana na Heche kusema Kuna kitu kwenye political science kinaitwa issues framing. Hiki ni kitu Chochote kinachotumika sana na watawala kwenye ulimwengu wa siasa kupumbaza watu wajinga kama mtoa hoja hapo juu.
Bora hapo kuna lidada limoja jeusi lilikuwa pale RITA nikiwa nimemaliza form six 2020 Tanga ikabidi nirudi home bana MULEBA kutafuta cheti Cha kuzaliwa Ili nikaombe mkopo alafu nipo siku za mwisho.
Cheti Cha kupata siku Moja yule mdada alinigonga wiki nzima na Hela nimetoa alinikera sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.