Habari Ndugu zangu, Mimi Kuna jambo napenda kuwashirikisha labda huenda naweza pata suluhisho..kama kuna mashehe humu au wachungaji mnisaidie..
~Mimi binafsi Kuna Binti tumependana, tumependana mpaka kwenye hatua ya kuwa tusipoonana Binti anaanza kulia...ila sasa Binti ni wa dini la Anglican na...
Jamaniiiiii habari za asubuhi!
Kuna fundi anaeweza kunisaidia kukadiriae...?
Nikitaka kujenga nyumba yenye vyumba 6 .. nahitaji kutumia tofali ndogo ndogo za kuchoma ngapi? Na bati ngapi?
TAJIRI HUNUNUA MALI,MASKINI HUNUNUA HISIA
Tofauti ya utajiri na umaskini haipo kwenye kiasi cha mshahara,bali kwenye Akili ya Kuwekeza (Investor Mindset).
Utajiri wa kweli haupimwi kwa pesa unazopokea,bali kwa mali zinazokulipa hata ukiwa umelala.
Mtego wa Hisia dhidi ya Mali
Watu wengi...
- BEING BROKE IS HELL — NOBODY CARES ABOUT YOU
Listen up, Men.
Let’s cut the crap — nobody respects a broke man.
Not society. Not your circle. Not even the people you love.
I’m not here to “motivate” you.
I’m here to slap the truth into your chest.
Being broke is hell.
You wake up with...
KUTOKA KUPAMBANA MPAKA KUMILIKI,SAFARI YAKO YA UTAJIRI.
Watu wengi mitaani wanasema.
Maisha ni magumu lakini ukweli ni kwamba maisha yanakuwa mepesi pale unapoelewa sheria za pesa.
Huwezi kucheza mpira wa miguu bila kujua sheria za faulo na penati vivyo hivyo huwezi kuwa tajiri bila kujua...
SEKTA YA MAWASILIANO TANZANIA (Q4 2025)
jumla ya usajili wa simu za mkononi ulifikia milioni 106.9 kufikia Desemba uku ongezeko la matumizi ya simu janja (smartphone) lilipanda hadi 41.82%,ufikiaji wa huduma ya 5G ulifikia 30.1% ya idadi ya watu, na wastani wa kasi ya mtandao wa simu ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.