tuko katika mkakati wa kutengeneza na kukuza brand yetu mtu wa masoko ni muhimu hivyo basi
kama unadhani ww ni mbunifu, mchapakazi ,unafikiri nje ya box ,
tuambie kwanini ni ww na si mwingine kwa maneno machache tupe pia uzoefu na ujuzi wako kwa kifupi
Habarini wanajukwaa
Sekta ya utalii ni sekta ambayo inaliingizia taifa letu fedha nyingi za kigeni, pia ni sekta inayokua kwa kasi kutokana na uwepo wa vivutio vingi tulivyobarikiwa hapa nchini.
Kama ambavyo tatizo la korona taratibu limeanza kuzoeleka na watu duniani kote ,ni matarajio ya yetu...
Nafasi ya kazi inatangazwa kwa mtu mwenye taaluma ya computer kiwango cha bachelor degree mwenye uwezo wa ku maintain e-comerce site kwa ajili ya kampuni yetu inayokusudia kuuza vitu mtandaoni akiwa na bachelor degree ya computer science kutoka vyuo vya UD, St joseph ,IFM itapendeza zaidi tuma...
ufafanuzi hata wakiutoa kwa mtu mwenye akili timamu lazma utajua unaibiwa tu.... na viongozi niliowataja ndo wahusika wakuu katika hili eneo RC ndo raisi wa mkoa mbowe ndo mtetezi wetu ana kura yangu yule
Si ndo maana nimesema mbowe kashindwa kutusaidia inawezekana kajaribu lakini hatutaki wanaojaribu tunataka wanaofanya kitu kinawezekana so mkasema RC huyu anaweza akafanya kitu kikatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.