Kama mtaala ulikuwep,o kwa nini imemchukua waziri muda mrefu kuuleta bungeni. Mtaala ni document ambayo anagalau wadau na viongozi wa elimu wanatakiwa kuwa nao. Pale Dodoma, kuna maofisa elimu wa mkoa,wilaya, nk. Ningetumaini wangekuwa nao.Kwa hiyo waziri alipotakiwa aulete lilikuwa ni swala la...