Recent content by Bwanga

  1. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Msaada please: Incomplete placenta previa

    Pole sister, natumaini Mungu amekuwezesha na umejifungua salama.
  2. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Damu kwenye semen - nini tatizo?

    Pole mkuu, ngoja wataalam waje, ila kwa kukushauri. 1. Acha kutumia mayai ya kisasa. 2. Anya kula broilers 3. Fanya mazoezi 4. Punguza ulaji wa mafuta mafuta na ma blue band also punguza unywaji wa soda. Siku hizi kuna evolution imetokea ya wanawake kuota ndevu na vipara na misuli, likewise...
  3. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu anamsifia sana Diamond, hadi nakereka

    Sikuwahi kuishi naye before kwa sababu nilikuwa mbali naye, nimeanza kuishi naye kama one month or less before hajabeba, so ni ngumu kuweza ku-generalize kwa kukadiria those few weeks ambazo hakuwa mzito.
  4. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu anamsifia sana Diamond, hadi nakereka

    Habari wana MMU, Sasa kuna huyu shemeji yenu, hapa, anamsifia sana Diamond na wema sepetu, yaani kila kitu huyu kaka kapendeza, mara huyu kaka ana nyota, mara diamond sijui kafanyeje, yaani kwake yeye diamond na wema hadi kero, na mimi binafsi niko tofauti kabisa na hawo akina diamond et al...
  5. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Member wa JF

    Duuuh, mkuu mbona umeniandami niaje chalii angu?? Kwani haya niliyoandika hapa ni uongo??? tatizo ni nini hasa, maana sielewi source ya wewe kuniandama kwa kusema haya. Kama nimekukwaza yaishe mzee.
  6. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Member wa JF

    This is just a funny avatar Baba_Enock, wewe unafurahia kuona wanaojitambulisha kama wanaume wanapojiremba na kujifananisha na dada zetu??
  7. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Member wa JF

    Inaonekana umemind mimi kuwakosoa watoto wa watu eeh, psychologically inafahamika mtu kitu kikimgusa ana respond vipi.
  8. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Member wa JF

    Vipi imekugusa nini??
  9. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Member wa JF

    Nimesoma threads kadhaa humu ndani na nimepigwa na butwaa kweli kweli, miongoni mwa zilizowahi kuniacha na mshangao ni threads kama: 1. Rafiki yangu kanitongoza (aliyeandika ni mwanaume) 2. Nina macho mazuri (pia mwanaume) 3. ...... 4. .... 20. Mwingine alikuwa anatafuta kijana handsome wa...
  10. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Rufaa ya gazeti la mwanahalisi

    NIMESOMA KWENYE BLOG KWAMBA GAZETI LA MWANAHALISI LIMEKATA RUFAA, RUFAA YENYEWE HII HAPA RUFAA MWANAHALISI
  11. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi 14 TANAPA

    Za kwanza hawajaita watu?
  12. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Help me please.

    Pole Maureen, Wataalam bado wapo kwenye mgomo naona, wish to hear what they will say, lets wait.
  13. Bwanga

    JamiiForums Tanzania MSAADA WATAALAM WA AFYA, Mpenzi wangu anateseka!,

    ......[withheld]
  14. Bwanga

    JamiiForums Tanzania Kubeba Laptop Chanzo cha Ugumba kwa Wanaume?!

    Nashindwa kuelewa sababu ni nini hadi gazeti la mwananchi limeamua kuipa uzito hii habari eti zaidi ya nusu ya wanaume ni wagumba. nilitegemea kukuta habari hii kwenye magazeti ya udaku kama kiu na uwazi. cha kustaajabisha ni pale hao watafiti wanapo draw conclusion kwa kufikiri kwa kutumia...
  15. Bwanga

    JamiiForums Tanzania kutoka mafutafuta meupe kwenye pua

    awali nilisikia ni watoto ndo wanaotoka mafuta futa meupe kwenye pua. je sababu ni nini? mimi nina miaka 27 lakini nikiminya pua yangu inatoa mafuta meupe. sababu ni nini wakuu.
Back
Top Bottom