Ukawa ikiwekwa kete ngumu mnalalamika. Ninyi mlidhani kampeni ni nini? Sio siku nyingi mtaanza kuimba ule wimbo wenu maarufu wa tumibiwa. Kazeni msitake kuonewa huruma.
We hata ukimchukia hana hasara. Alipokua kwenye mkutano wa Lowasa wa uzinduzi wa kampeni za kura za Maoni za ccm pale Arusha mbona hukumchukia acha wivu wewe piga mboyoyo. Kijana anavuta mkwanja
Ccm ipi mafisadi waliotufikisha hapa tulipo. Wakitumika ktk vyeo vya juu kabisa katika serikali ya ccm. Leo wamekumbatiwa na kuonekana malaika. Hapo kuna mageuzi yenye tija? gongo ni gongo hata ukiiweka kwenye chupa ya maji ya kilimanjaro itabaki kua gongo tusidanganyane
Rais atafungua bunge kwa hotuba ya dakika tano? Eti maneno yenye mvuto. Rais utahutubia UN kwa Dakika 5. Acheni masihara ninyi hata kama mna mahaba naye si kihivyo. Rais ni lazima aonyeshe uwezo wa kueleza kwa kina kile achoamini.
Mabadiliko tuliyokua tunataka si kwa lowasa na Sumaye watu waliopewa nafasi ya juu kabisa ya uongozi na wakashindwa kutuletea NEEMA. Leo watawezaje. Ni magumashi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.