Mimi nilimwachisha baada ya wote kukaa chini, wote tuko busy na kazi za watu halafu yake ilikuwa inapay very less while Mimi hela ya matumizi ninayompa ninayompa ni kama mara mbili hivi na anachokipokea.
Tukaamua bora tuwe na ka mradi ketu nyumbani kwa ajili yake na watoto wetu wasikose malezi...
Tatizo unamwonea huruma, mwandae vizuri, alainike paka mate sukumumiza hata kwa nguvu Sana, atapata maumivu makali ila yatapoa tuuuuu. Halafu wanawake hawafanani, wengine chap tu kitu kimeenda ndani. Utakuja kujutia siku ukikuta ilishatolewa.
Walikuwa ila kwa sasa mkuu mji umekuwa dominated na wa kuja wakiongozwa na wachaga, wairaqw, wapare, warangi, wameru na kuna idadi kubwa ya wasomali na jamii kutoka Tanga, tukiongea ukweli Arusha ukitumia ukabila kushinda uchaguzi ni big kukiwa na fair ground, fanya utafiti mdg hata kwa viongozi...
Kikubwa tahadhari ni muhimu, mlishamalizana na mtu, unaendelea kumfata fata ili umkomoe asiishi kwa amani kisa tu unajua taratibu zao za kazi ni ngumu. Bado haitoshi unaenda kazini kwao unamkuta mlangoni yuko lindo na silaha yake, anakuuliza umefata nini huku unamjibu shit! si wote wenye moyo...
That care, hajawahi nificha upendo wake kwangu. Kuna hali ngumu nilipita ila ni yeye aliyehakikisha sikati tamaa.
Tatizo baba yake alinikataa nami sikutaka kuifarakanisha familia yao, maana hadi mama yake nilimletea shida kubwa kwenye ndoa yake.
Am married, yeye bado ila akinimic atanitafuta...
Labda hufatilii mpira jombii zaidi ya hii ligi ya bongo, juzi kati Marcus rashford alipogwa redcard vs Burnley kwa kosa kama hilo la ngasa, kwenye mpira haya yanatokea sana na yataendelea kutokea banana binadamu siyo wote wanaoweza kuzuia temper, akishajaa anajikuta anafanya kitendo cha ajabu...
Na hichi ulichokiandika unakiita utafiti? Acha kuichaufua UDSM kwamba ndiyo iliyokupa hiyo elimu uliyonayo, uwezo wako bado sana, jenga hoja uoneshe kweli kuna utafauti mkubwa kati ya wana udsm na vyuo vingine.
Hata angeingia nani bado hataacha mistreatment, wafaransa walimchagua Emmanuel macron kwa mbwembe zote because of his socialist ideas, Leo hawamtaki tena, wengine wanamwita global representative na hayuko kwa ajili ya wafaransa.
"Wahasiasa ni wazuri tu pale wanapokuwa hawana madaraka makubwa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.